Shamba linauzwa lipo pembeni ya mto -wami dakawa morogoro

Mijicho

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2009
Posts
282
Reaction score
219
Habari

Nimeamua kuuza shamba langu ,maelezo kuhusu shamba ni kama ifuatavyo.

ukubwa:hekari 30,linauzwa lote kwa pamoja na sio vipande
eneo:wami dakawa,karibu kabisa na ranch ya mzee mwinyi
faida:lipo pembeni ya mto wami,na linafaa kwa mpunga,na pia mboga mboga kwa msimu wa kiangazi kwa kumwagilia
umbali kutoka barabarabi ya lami:around 7 kms
mazingira ya barabara:unafika mpaka shambani na gari
rutuba ya shamba:halihitaji mbolea na halijalimwa misimu miwili
bei:10,500,000million(350,000 kwa heka) maelewano yapo
mawasiliano:0719256666

Serious buyers only

PM me kwa swali lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…