Shamba linauzwa mkoani iringa

Shamba linauzwa mkoani iringa

Bwana

Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
46
Reaction score
7
Shamba lenye ukubwa wa eka 528 linauzwa mkoani Iringa.
Bei 250m. Lipo Kijiji cha Kiponzero eneo la Ifunda. Lina hati ya miaka 33.
Call 0713619850
 
limesajiliwa kwenye mpango wa kilimo kwanza na mapinduzi ya kijani?
 
Naomba utoe mwanga zaidi wa hili shamba. Kwamba lina vitu gani ndani, yaani is it developed? Na hiyo lease inamuda gani sasa? Kwamba imebakia miaka mingapi?
Kuhusu Barabara, is it easily accessible? Ni mazao gani yanaweza stawi, mpunga? Mahindi? Je linafaa kwa kilimo cha umawagiliaji? Kuna Mto karibu?
Hebu lipambe pambe kidogo maana si shamba dogo hilo .
Asante.
 
Back
Top Bottom