Frank Nzota
Member
- Jul 23, 2021
- 13
- 8
Mlima wote umezungukwa na mto mkubwa wa maji na linafaa kwa kilimo palachichi,miti yambao nk na Bei ni laki moja na nusu (150,000)kwa ekari mojaWeka na bei ya shamba lote, au hata kwa heka. Pia ungeonesha na hivyo vyanzo vya maji, ingependeza zaidi kuwavutia wawekezaji.
Lakini pia ungetaja baadhi ya hayo mazao mfano miti ya pines, parachichi, vanila, nk.
Ni la kijiji au mti binafsi?Shamba linauzwa lenye ukubwa wa ekali 350.
lipo mkoa wa Njombe tarafa ya Lupembe Kijiji Cha lwanzali namiundombinu kama maji yapo yakutosha na linafaa kwa kilimo chochote like.kwa mawasiliano piga 0763165384 au 0719655616.
View attachment 1920482
View attachment 1920596View attachment 1920598View attachment 1920599View attachment 1920597
Lina hati au ntanyanganywa badaye na serkali?Shamba linafaa kwa kilimo Cha palachichi,miti yote ya mbao,nakilimo chote Cha umwagiliaji linafaa na maji yapo ya kutosha Bei ni lak moja na nusu kwa ekali moja
Shamba linauzwa lenye ukubwa wa ekali 350.
lipo mkoa wa Njombe tarafa ya Lupembe Kijiji Cha lwanzali namiundombinu kama maji yapo yakutosha na linafaa kwa kilimo chochote like.kwa mawasiliano piga 0763165384 au 0719655616.
View attachment 1920482
View attachment 1920596View attachment 1920598View attachment 1920599View attachment 1920597
Halina shida yeyoteLina hati au ntanyanganywa badaye na serkali?
Na ni eneo ambalo limeka vzuli hata kwa ufugajiUfugaji je?