Plot4Sale shamba linauzwa Tanga kirare

Maro victor

Member
Joined
May 22, 2013
Posts
14
Reaction score
4
nauza shamba lenye ukubwa wa ekari 16 njia ya kwenda wilaya ya pangani kata ya kirare kijiji cha kirare shamba halijawahi kulimwa. main road bei maelewano. nitafute 0787913493
 
Picha, bei, shamba limepimwa, lina hati, naweza kulima nini hapo, je kuna miti gani, au ni mapori mwitu tu?
 
bado halijapimwa, pia halina hati nishamba pori tu ambalo halijawahi kulimwa ni zuri pia kwa uinvest kitu. mazao mengi unaweza kulima kutegemeana na msimu mf mahindi,bei ni mil 8 tu
Picha, bei, shamba limepimwa, lina hati, naweza kulima nini hapo, je kuna mazao au miti gani, au ni mapori mwitu tu?
 
bado halijapimwa, pia halina hati nishamba pori tu ambalo halijawahi kulimwa ni zuri pia kwa uinvest kitu. mazao mengi unaweza kulima kutegemeana na msimu mf mahindi,bei ni mil 8 tu
Tanga kuna tatizo la mashamba ya ukoo! na watu hawasemi ukweli, hakuna anayesema ukweli . Let me think again maana shida kila siku na viwanja/mashamba ya ukoo.
 
Mkuu liko wilaya gani
 
Tanga kuna tatizo la mashamba ya ukoo! na watu hawasemi ukweli, hakuna anayesema ukweli . Let me think again maana shida kila siku na viwanja/mashamba ya ukoo.
hapana mkuu shamba sio la ukoo nililinunua mwenywe mwaka 2010 na nina document
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…