Plot4Sale Shamba Linauzwa - Zingiziwa, Chanika

Plot4Sale Shamba Linauzwa - Zingiziwa, Chanika

len

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2010
Posts
204
Reaction score
128
Shamba zuri lenye ukubwa wa ekari tatu linauzwa. Shamba liko Zingiziwa, Chanika wilaya ya Ilala Dar es Salaam. Kuna mto unapita katikati ya shamba hivyo unaweza kufanya kilimo cha umwagiliaji kwa mwaka mzima. Ndani ya shamba kuna miche ya miembe ya kisasa ipatayo 60, miche 30 ina miaka miwili na 30 ina mwaka mmoja. Pia kuna kibanda cha chumba kimoja ndani ya shamba.

Bei ya shamba lote ni shilingi milioni hamsini (TZS 50,000,000), maongezi yapo.
Ongea na mwenye shamba moja kwa moja kupitia 0754 288 391

20200620_094213.jpg
20200620_094149.jpg
20200620_094218.jpg
 
Umelileta tena.
Nilikuambia likifika million 10 nitafte.
 
Ukiliuza uje kuleta mrejesho kwa hy bei au umeambiwa jf wanaokota pesa rekebisha tangazo lako
 
Back
Top Bottom