Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Shamba zuri tambarare ukubwa heka tano linauzwa
Shamba lipo maeneo ya kongowe kibaha eneo la saranga umbali km 10 kutoka barabarani. Kuna barabara ya vumbi magari yanafika.kuna reli ya umeme inapita Pia lipo jirani na mashamba ya mwekezaji billionea mdogo kuliko africa Mo Dewji
Ekaei tano za mwanzo zimeshayzwa millioni tisini
Bado heka tano zimebaki nazo ni millioni tisini
Eneo linafaa kwa uwekezaji. Ufugaji, kiwanda na kilimo
Contact 0658537153 au 0715289534
Kama uko interested
Muuzie huyo x2 aliyenunua ekari tano za mwanzo AMA mfuate MO mwambie unaenda kumpa pole kwa yaliyomsibu hivi karibuni halafu muuzie hilo deal. POVU RUKSA maana hiyo Milioni 90 Mhh
Picha hazijapigwa mkuu..zilikuwepo zimepotea mpk wakienda tenaWrite your reply...Picha?
Muuzie huyo x2 aliyenunua ekari tano za mwanzo AMA mfuate MO mwambie unaenda kumpa pole kwa yaliyomsibu hivi karibuni halafu muuzie hilo deal. POVU RUKSA maana hiyo Milioni 90 Mhh
Kama unaweza njoo tubargain inashuka
Umeona hapa mkuuHiyo ikpo juu sana haka ukimwita mzee wa kufyeka (Mwamri) hawezi fua dafu hapo mkuu, nimejitoa. Hata enzi za JK ungepata tabu sana sembuse JPM?!