shamba linauzwa

Kalunguine

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2010
Posts
2,543
Reaction score
134
haya ndugu zangu,ni shamba langu mwenyewe,kila kitu kipo,linapatikana maeneo ya vigwaza ruvu,zipo ekari kumi kama unahitaji uni PM
 
haya ndugu zangu,ni shamba langu mwenyewe,kila kitu kipo,linapatikana maeneo ya vigwaza ruvu,zipo ekari kumi kama unahitaji uni PM

Kama kila kitu kipo basi hapo sio shambani !!!!!!!

Vitu muhimu kwa shamba ni hivi, maji,barabara,manpower,udongo wenye rutuba,usalama. Sasa kama vitu hivi vipo basi tupe majibu.
 
kila kitu kwa maana ya document
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…