Shamba linauzwa

Al Zagawi

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2009
Posts
2,508
Reaction score
1,566
Shamba linauzwa, lina ukubwa wa ekari moja. lipo katika kijiji cha kinzudi, unapita tegeta salasala. linafikika kwa bara bara, umeme upo jirani (unahitaji nguzo moja tu).

ni muwafaka kwa ujenzi wa makazi(nyumba) au ghala(godown).

bei ni: Tsh. 25m (maongezi yapo).

mawasiliano ni: 0713 67 10 20/0787 83 59 48
 
Kinzudi sehemu gani? unapita kwa Mboma?
 
naam, unapita kwa mboma (mboma road), unafika mpaka mwisho wa dala dala, pale kuna njia mbili, unafata ya kulia, unashuka bonde, unapanda kisha utakutana na bara bara inatoka kulia kwako, kutokea hapo ni kama mita 200 hivi kwa kuifata hiyo bara bara.
 


BEI IMEPUNGUA NA SASA NI Tsh. 13m. mwenyewe yuko desperate sana kuliuza nami kama dalali natimiza wajibu.
 
BEI IMEPUNGUA NA SASA NI Tsh. 13m. mwenyewe yuko desperate sana kuliuza nami kama dalali natimiza wajibu.

Ikishuka zaidi mitaa ya 5Mil tujulishe, wazee wa dead balls..nitamwagiza mtu hapo Dar awasiliane nawe.
 
Ikishuka zaidi mitaa ya 5Mil tujulishe, wazee wa dead balls..nitamwagiza mtu hapo Dar awasiliane nawe.


Mkuu niko nawe hasa baada kusoma maelezo ya jinsi ya kufika kwenye shamba!!!
 
Jamani mambo mazur kama haya huja ukiwa huna pesa! Haya mshamba wote huooo! Na mipesa hamna. Mungu wangu: na ukizikamata mambo kama haya hayatokei. Uuuwiii. Hak'anani. Nimepagawa jamani. Mnisamehe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…