Plot4Sale Shamba zuri kando ya ziwa linauzwa Mwanza

pettymarcel

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2012
Posts
2,161
Reaction score
880
Husika na kichwa hapo juu kwa yeyote mwenye kuhitaji shamba la kilimo lenye maji na miundo mbinu mizuri yaani barabara umeme upo shamba liko barabarani linafaa kwa kilimo cha vitunguu mpunga nyanya mihogo viazi pamba nk.

Zipo ekari nne Kila ekari moja inauzwa sh milion tatu ukichukua zote kwa pamoja tunakupunguzia shamba lipo Maeneo ya misungwi karibu kabisa na Misungwi water supply.

Kwa mwenye kuhitaji wasiliana nami kwa WhatsApp: 0763772636


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni eneo zuri lakini kuna nyaraka gani muhimu ambazo zipo na eneo hilo halipo kwenye mipango ya Halmashauri ya eneo husika? Muuzaji inaonesha kuna mazao tayari jee mnunuzi ananunua na mazao yaliyomo ama ni mpaka mmiliki wa sasa avune mazao yake na yeye ndiyo akabidhiwi shama?

Hiyo bara bara ni rasmi ama ni ya jamii na inapita katikati ya shamba, juu ya shamba ama iko chini ya shamba? Na hakuna marufuku yoyote ile iliyotolewa kuhusu eneo hilo?
 
Zipo documents zote muhimu ata ukitaka kufanya makubaliano chini ya mwanasheria wako Ni ruksa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…