Shambulizi la arusha limelenga kuwatisha wakatoliki kutoshiriki kura ya maoni ya katiba mpya.

Shambulizi la arusha limelenga kuwatisha wakatoliki kutoshiriki kura ya maoni ya katiba mpya.

Status
Not open for further replies.

Seif al Islam

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
2,156
Reaction score
639
inasikitisha sana ila ndio sms zinazosambazwa kwenye mitandao ya simu kuwa shambulizi la leo lililenga kuwapa onyo kali wakristo hususani wakatoliki kutoshiriki katika kura ya maoni ya katiba mpya kwa kile kinachoitwa mpango maalumu ulioandaliwa kupitisha mambo fulani fulani kwenye katiba.hali hii inatisha.vyombo husika vichukue hatua kudhibiti hali hii na zaidi usambazwaji wa ujumbe huu kwa watu.tanzania ni yetu sote.
 
Nadhani huo ujumbe unatoka kuzimu kwa wale wanaokunywa damu za binadamu, kwa muda huu ujumbe wa maana ni huu hapa "TUMSIFU YESU KRISTO. Waumini wa kanisa katoliki Dunia nzima, tunasikitika kwa tukio lililotokea saa 4.30, leo asubuhi ,wakati Ibada ya misa Takatifu ikianza katika mji Arusha maeneo ya olasiti kwa kulipuliwa Bomu na kufariki watu,pamoja na kujeruhi. jumapili ya leo wewe ukiwa mkristo, tafadhali fanya maombi maalumu, Dunia iwe ya Amani. EEE MUNGU MKONO WAKO WA KUUME USIKUBALI TANZANIA IWE YA MACHAFUKO. AMINA. Tuma ujumbe huu kwa Wakristo wote Duniani"
 
...I wouldn't be surprised if this was the case!
 
nadhani sote tunatakiwa kuwa wapole na wakarimu
hasa katika kipindi hiki cha majonzi
 
Kwa nini utumwe kwa wakristo tu? Kwani yakitokea machafuko ya kidini wataathirika wakristo tu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom