Look on what happend yesterday regarding the richmond, kiwira, TRL, and TICTS issues. the CCM government has delibaretly decided not to hand over the report to the Bunge just without giving reasons. Now if we want the report it means we have to start the fight and may be kill some of the CCM officilas, this may alert them that we are serious
Ripoti hizo zote zilishakabidhiwa kwa Bunge, ila hazikuletwa mezani. Spika Sitta had to do what he could do to save his face, kama Mwanakijiji ilivyosema, ilikuwa wampigie kura ya kutokuwa na imani nae. RA ni mwisho, Sitta amebow down na amini nawaambieni hazitajadiliwa tena mpaka 2011, baada ya uchaguzi maana ni mtaji mkubwa kwa wapinzani, na Spika Sitta mwisho wake ni one term only.
Bunge lilikuwa likutane kwa siku 9 full days. Siku ya kwanza nusu siku, mchana wakajipumzikia. Hivyo zikabaki siku 8. Baada ya kukutana siku 3, ya nne msiba, hii ni kazi ya Mungu tuiache. Baada ya msiba limekaa only one full day, siku mbili zilizofuata only morning session kupisha kama ya CCM!. Jana tukaambiwa limeongeza siku, lingekaa leo half day, Jumatatu na Jumanne kufidia lost days. Ghafla jana limeahirishwa bila kutolewa sababu!. Huwezi amini kati ya siku 9, limekaa only 4 full day sessions!.
Spika Sitta sasa amedhihirisha udhaifu wake ama kuogopa na kuwapigia magoti mafisadi. Mtashuhudia one of these days, atakuja na press release yenye lame excuses na siajabu akasema mijadala hiyo imefungwa kabisa. Kusemakweli kukosekana kwa Zitto Bungeni sometimes kuna very big impact. Ingawa Hamad Rashid alikuwepo, Hamad ana too humility kwa makombora yaliyovurumishiwa Sitta, na Dr. Slaa upadiri ulimrudia ghafla, haswa kwa kuzingatiakuna watu walitusiwa person issues hivyo kitendo cha Sitta kukikimbia kiti ikaonekana ni repetence, akasamehe, hivyo bunge likaahirishwa hivi,,hivi,, kama mchezo!.
Hapo unategemea nini?.