Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
kumbe na chuo alimsomesha?Mshkaji sio pesa alkua hana bali alkua nazo kiasi pia shamim naeza sema ndio almfanya Jamaa asipasue mbuga sana za pesa ila shamim angekumbuka fadhila kuanzia kutunzwa na jamaa kupelekwa chuo hata ile ofisi yake pale sinza enzi zile ila ndo hvyo namuonea Iman Sana mwanae wa kwanza japo naamini yupo mikono salama sana tena sana ila ndo hvyo
mambo gani hayo umejifunza?Dada ndoa zina mengi. Baada ya kuwa na familia..nimejifunza mengi sana kwenye hii taasisi adhimu. So huwezi jua Shamim na huyo mme wake "cool" nani alikuwa ameishikilia hiyo ndoa 🙂
Anyway kwa upande mwingine uko sahihi. Ndoa nyingi mjini zinaparaganyika kwa sababu ya uwezo na vipato. Ndo ukweli mchungu.
inaonekana wewe ni introvertWatu mnafuatilia maisha ya watu. Binafsi hata jirani sijui maisha yake yakoje, wameachana ameoa au anachepuka sina habari. Nilishawahi kumwita mke wa mtu kwa jina la mumewe wa zamani kumbe walishaachana kitambo na ameolewa na huyu aliyenaye. Ikawa so.
Hna shukran na yeye si alimuona abdul ndy zaidiMshkaji sio pesa alkua hana bali alkua nazo kiasi pia shamim naeza sema ndio almfanya Jamaa asipasue mbuga sana za pesa ila shamim angekumbuka fadhila kuanzia kutunzwa na jamaa kupelekwa chuo hata ile ofisi yake pale sinza enzi zile ila ndo hvyo namuonea Iman Sana mwanae wa kwanza japo naamini yupo mikono salama sana tena sana ila ndo hvyo
Sahv wao ndiyo wanajiteteaJana nimekumbuka nikasema nitakuuliza hukumu yao imeendaje best?
Na Sahv wanakunyoosha Kweli mzeeAtatoka lini? Maana akikutwa hatiano jela yake SI ya kitoto
Basi ilibidi asikubali kufanya uhusiano au kuolewa naye. Vinginevyo tutachukulia kuwa alikuwa amemkubali kama alivyo hivyo alifanya makosa kuja kumkataa baadae.Yule kaka alitofautiana sana na Shamim, kaka alikua cool mno Shamim anapenda wakaka walio kwenye spot light.
Duhhhh hapo kweli nomaWatu mnafuatilia maisha ya watu. Binafsi hata jirani sijui maisha yake yakoje, wameachana ameoa au anachepuka sina habari. Nilishawahi kumwita mke wa mtu kwa jina la mumewe wa zamani kumbe walishaachana kitambo na ameolewa na huyu aliyenaye. Ikawa so.
Mkuu Mimi nimeuliza kwakuwa katika vitu vilivyo kamatwa navyo vimetajwa kuonesha kama navyo ni makosa kuwa navyo hawajaema vimetumikaje. Sasa paspoti kuna kosa gani kuwa nayo wakati imetolewa na serikali? Simu tano zinashida gani kwa mke na mume maana hawajasema zimeibwa. Kadi za benki kama ni zao kuna kosa gani? Mi nimeuliza tu mkuu watoa taarifa hawajasema zina makosa gani ungenijibu kistaarabu tu kama wewe mwenzangu wajuaHizo simu zilitumikaje? Matumizi huenda yakaleta ushahidi wa kuhusika na madawa ya kulevya.
Duuuuu tujuane boss me nipo DumilaAnaishi mbezi beach mi nakaa magubike? Mshahara 620.000 subject to deductions wambebe tu[emoji57][emoji57][emoji57]
Passport zinachunguzwa ktk safari zakoMkuu Mimi nimeuliza kwakuwa katika vitu vilivyo kamatwa navyo vimetajwa kuonesha kama navyo ni makosa kuwa navyo hawajaema vimetumikaje. Sasa paspoti kuna kosa gani kuwa nayo wakati imetolewa na serikali? Simu tano zinashida gani kwa mke na mume maana hawajasema zimeibwa. Kadi za benki kama ni zao kuna kosa gani? Mi nimeuliza tu mkuu watoa taarifa hawajasema zina makosa gani ungenijibu kistaarabu tu kama wewe mwenzangu wajua
Passport zinachunguzwa ktk safari zako
Nchi ulizoenda etc..... Sim Wana trace mawasiliano
Yaani kwa kifupi mpaka Hawa wjomba wanakutilia Timu syo wajinga walishapata data zote kuhusu wao kujihusisha na biashara hyo
Ova
Siyo wauza ng'anda tu ila watu wengi wanaoishi maisha ya kijanja janja wengi wamejigeuza ni wana CCM wa kutupwa. Wafanya biashara, Wachungaji, Wanasiasa etc wengi wanaangukia kwenye hili kundi. Unajua baada ya CCM kupoteza ushawishi kwa watu wengi imejikuta inakumbutia kitu chochote kinachokuja mbele yake ili isizame. Ule wakati wa CCM kuwa na watu wasafi ulishapita. Angalia wanasiasa wengi kama kina Kigwangala, Makonda, Gambo wote hawa ni wapiga dili tu.Wauza ngada wengi wameji brand kama wana ccm ili isiwe rahisi kustukiwa, nyie fanyeni utafiti
Ndio mzee kipindi yupo ipp alkua anapiga msuli kupitia sapoti ya Jamaakumbe na chuo alimsomesha?
Unaeza sema mwana kulifind Mwana kuliget kiukweli ukiona sarakasi zimekuwa nyingi kwenye mahusiani|ndoa alafu wewe n mwema kiukweli muombe MUNGU akuache salama yan zile kesi na full kugawana lakini mwisho wake ndo huu na kipindi kile jamaa ndo alkua kawa mcharo kinoma bibie akaona tugawane si ajabu Abdul na shamim wanahisi busara za jamaa ndo zinawatesaHna shukran na yeye si alimuona abdul ndy zaidi
Alimburuza sana jamaa bakwata.... Ila mwana akaona isiwe kesi
Ndiyo hvyo Sasa Maisha aliyotaka shamim kwa abdul
Kayapata....
Na sjui kwann Hawa watu hawajifunzi au ndiyo upofu
Ova