Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

kumbe na chuo alimsomesha?
 
mambo gani hayo umejifunza?
 
inaonekana wewe ni introvert
 
Hna shukran na yeye si alimuona abdul ndy zaidi
Alimburuza sana jamaa bakwata.... Ila mwana akaona isiwe kesi
Ndiyo hvyo Sasa Maisha aliyotaka shamim kwa abdul
Kayapata....
Na sjui kwann Hawa watu hawajifunzi au ndiyo upofu

Ova
 
Yule kaka alitofautiana sana na Shamim, kaka alikua cool mno Shamim anapenda wakaka walio kwenye spot light.
Basi ilibidi asikubali kufanya uhusiano au kuolewa naye. Vinginevyo tutachukulia kuwa alikuwa amemkubali kama alivyo hivyo alifanya makosa kuja kumkataa baadae.
 
Hizo simu zilitumikaje? Matumizi huenda yakaleta ushahidi wa kuhusika na madawa ya kulevya.
Mkuu Mimi nimeuliza kwakuwa katika vitu vilivyo kamatwa navyo vimetajwa kuonesha kama navyo ni makosa kuwa navyo hawajaema vimetumikaje. Sasa paspoti kuna kosa gani kuwa nayo wakati imetolewa na serikali? Simu tano zinashida gani kwa mke na mume maana hawajasema zimeibwa. Kadi za benki kama ni zao kuna kosa gani? Mi nimeuliza tu mkuu watoa taarifa hawajasema zina makosa gani ungenijibu kistaarabu tu kama wewe mwenzangu wajua
 
Passport zinachunguzwa ktk safari zako
Nchi ulizoenda etc..... Sim Wana trace mawasiliano
Yaani kwa kifupi mpaka Hawa wjomba wanakutilia Timu syo wajinga walishapata data zote kuhusu wao kujihusisha na biashara hyo

Ova
 
Hili ndo jibu sasa
Passport zinachunguzwa ktk safari zako
Nchi ulizoenda etc..... Sim Wana trace mawasiliano
Yaani kwa kifupi mpaka Hawa wjomba wanakutilia Timu syo wajinga walishapata data zote kuhusu wao kujihusisha na biashara hyo

Ova
 
Wauza ngada wengi wameji brand kama wana ccm ili isiwe rahisi kustukiwa, nyie fanyeni utafiti
Siyo wauza ng'anda tu ila watu wengi wanaoishi maisha ya kijanja janja wengi wamejigeuza ni wana CCM wa kutupwa. Wafanya biashara, Wachungaji, Wanasiasa etc wengi wanaangukia kwenye hili kundi. Unajua baada ya CCM kupoteza ushawishi kwa watu wengi imejikuta inakumbutia kitu chochote kinachokuja mbele yake ili isizame. Ule wakati wa CCM kuwa na watu wasafi ulishapita. Angalia wanasiasa wengi kama kina Kigwangala, Makonda, Gambo wote hawa ni wapiga dili tu.
 
Hna shukran na yeye si alimuona abdul ndy zaidi
Alimburuza sana jamaa bakwata.... Ila mwana akaona isiwe kesi
Ndiyo hvyo Sasa Maisha aliyotaka shamim kwa abdul
Kayapata....
Na sjui kwann Hawa watu hawajifunzi au ndiyo upofu

Ova
Unaeza sema mwana kulifind Mwana kuliget kiukweli ukiona sarakasi zimekuwa nyingi kwenye mahusiani|ndoa alafu wewe n mwema kiukweli muombe MUNGU akuache salama yan zile kesi na full kugawana lakini mwisho wake ndo huu na kipindi kile jamaa ndo alkua kawa mcharo kinoma bibie akaona tugawane si ajabu Abdul na shamim wanahisi busara za jamaa ndo zinawatesa
 


MFANYABIASHARA ABDU NSEMBO NA MKEWE SHAMIM WAHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA JELA.

Wafanyabiashara hao walioshtakiwa Baada ya kudaiwa kukutwa na shehena ya dawa za kulevya aina ya Heroin wamehukumiwa Kifungo cha Maisha Jela.

Hukumu hiyo iliyotolewa na Mahakama kuu divisheni ya makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi ijulikanayo kama Mahakama ya mafisadi imetoa amri ya kutaifishwa kwa mali za wawili hao Pamoja na kuteketezwa kwa dawa hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…