Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Kuwa na Watoto wadogo sio sababu ya kutenda kosa. Hawezi kuonewa huruma sababu ya kuwa na Watoto wadogo
Ingekuwa hivyo kila mtu angekuwa anauza madawa na akikamatwa anasingizia ana Watoto wadogo
Kwahiyo mkuu unashaurije? Imebaki rufaa tu
 
Haaahaaaahaaa[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kidogo uende Buza kwa mpalange[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alifanya wanawake mabwana tulio nao tuwaone mafala tu .hata elfu tano ya kibubu kwa siku anashindwa?? Kumbe bna daah .
 
Vick we hukupagawa na vibubu vyake?[emoji1787]

Ila seriously, sitamani maisha ya mtu tena asee[emoji848]
Kama unamkumbula Shamimu hakuwa na makuu kabisa mwenyewe akipiga picha zake kwenye shughuli na kiblog chake maisha yanaenda na ustaadh wake yule baba Iqra,sasa dharau za kina Mange kumfanya kama housegirl fulani hivi na vile muda mwingi anapigana nao vikumbo na shetani akikuchagua huchomoki ila nimeumwa sana.shamimu kabla ya Abdul alikuwa na roho nzuri sana Mmungu amfanyie wepesi huko aliko
 
Wote hukosea ila ku judge wengine as ni wadhambi sana na kufurahia maana kwa hii dunia lolote laweza tokea kwa yoyote hata kufungwa kwa watu kukosea identity tu
Msamaha una nguvu kuliko mauti, Msamaha una nguvu kuliko kosa. Naamini mtu mwenye kosa kubwa ( muonekana wa kosa ) toba yake huwa ni kweli kuliko wanao ona wana makosa madogo madogo. Siamini katika kifungo cha maisha au kunyonga, maana hapo hujaondoa tatizo bali umezidisha tatizo. Nafatilia sana vipindi hivyo NGC watu wanakutwa na KG za kutosha, ila hupewa uangalizi ndani ya jera na miaka mingi huwa 5 hadi 38, maendeleo yake ya kitabia yakiwa mazuri, adhabu hupunguzwa na hata kuachiwa huru. Hawa watu ingekuwa wanapata adhabu ya miaka kadhaa, then waje watumikie jamii kama ma hospital au mshuleni na kutoa elimu kwenye makundi ya vijana walio athirika na hizo dawa.. kuliko kusema unawafunga maisha.. hai make sense
 
Mimi mke wake namuonea huruma... kesi ni ya mwanaume hiyo
Unadhan mwanmke alikuwa hajui MUMEWE n muuza ngada ? Nsembo kitambo Sana wakat nakaa magomeni had watoto wadogo walikuwa wanajua anauza sembe

Shamimu naye alifuata pesa ya sembe ili aendelee kuuza sura na kidanganya mabinti mjini

Ilifka wakati mademu zetu walituona hatutanyi kazi Kama akina nsembo nakutuona maboya Sasa Leo anahukumiwa watu Kama nyinyi mnaanza oo kaonewa

Vp mateja aliowaacha mtaani vijana waliokufa kwa madawa unasemaje juu ya hili

WANAWAKE NANYI N WAKATI WAKUJUA KIPATO CHA MUMEO N HALALI AU SIYO HALALI SI UNAFURAHIA TU PESA UNAJUA ZINAKOTOKA? SHAMIMU ROLE MODEL WA WENGI KALA MVUA YA MILELE JE NAWE UPO TAYARI KUUNGANA NAYE

#CHUKUAHATUA
 
Nakubaliana na wewe adhabu nyingine ni too much kwa kweli nikifatilia kwa wenzzetu adhabu sio Kali ka hii jamani.
 
Nakubaliana na wewe adhabu nyingine ni too much kwa kweli nikifatilia kwa wenzzetu adhabu sio Kali ka hii jamani.
Sheria zetu nyingi, nyuma yake watungaji na watia saini ili zitumike wamekuwa ni watu wenye roho mbaya na wabinafsi na wenye roho za kukomoa. Hawavai uharisia wa kile wanacho kipitisha, na hawana hofu. Nilikua najua mtu anaefungwa maisha ni yule alie tishio kwa nchi au dunia.. ila hawa adhabu hiyo ina chuki na roho mbaya.. Mungu afanye mioyo ya wahusika kuwa milaoni na yenye tumaini la kumtumaini zaidi Mungu, awaondolea uzito na mawazo mioyoni mwao, aweke peace, joy and love
 
Nakubaliana na wewe adhabu nyingine ni too much kwa kweli nikifatilia kwa wenzzetu adhabu sio Kali ka hii jamani.
Wanaharibu watoto wa watu mitaani ili waishi kibingwa ngoja wale dawa yao. Huko China sio maisha, ni shaba..kipi bora? Tusijifanye kuwa na huduma za ajabu kwa wapuuzi wanaoharibu taifa. Watoto watalelewa na ndugu, jamaa na marafiki
 
Sijui kwanini Waislam wanapenda hii biashara,

Utawaonya mpaka utokwe na povu lakini wapi, watakuzodoa tu
Sijui Kuna kaukweli hapo, Ila list ya ma-tycoon wa madawa wote ni wa upande huo na wote Sasa hivi wako kwenye mikono salama
  • Ally khatib Haji "shkuba"
  • Mharami Mohamed Abdallah "chonji"
  • Yakubu Adam "kanyau"
  • Abuu salehe "kimboko" Don wa mbagala
  • Omary yangayanga
  • Ayoub Kiboko "kiboko"
  • Abdul Nsembo
  • Hussein mafisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…