Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Naskia wanatoka sooonTunakumbushana tu
Wamemaliza kifungo?Naskia wanatoka sooon
Rufaa mkuuWamemaliza kifungo?
Kumbe walisingiziwa?Rufaa mkuu
Aah mkuu wangu wee naogopa wakitoka watanipeleka kwa lemutuz anichambeKumbe walisingiziwa?
Daah bora atoke .wale watoto maskini.ila monica ana roho ya dhahabu aisee.amewabeba kama wa kwakeAah mkuu wangu wee naogopa wakitoka watanipeleka kwa lemutuz anichambe
Watoke tu sasa...Daah bora atoke .wale watoto maskini.ila monica ana roho ya dhahabu aisee.amewabeba kama wa kwake
Kwa hiyo mhalifu hapaswi kufungwa sababu ana watoto?Daah bora atoke .wale watoto maskini.ila monica ana roho ya dhahabu aisee.amewabeba kama wa kwake
Kuwa na Watoto ni excuse ya kutofungwa?? Watoke sababu wana Watoto? Sasa huko jela si itabidi wote nao watoke maana sio wao tu wenye watotoWatoke tu sasa...
Monica ki ukweli anastahili tuzo namna anavyowalea wale watoto...
No way kama wana hatia acha wakae tena bora wao wana mtu anawalelelea watoto wenzao watoto wanakuaga machokoraa wao watulie huko tu wasitokeDaah bora atoke .wale watoto maskini.ila monica ana roho ya dhahabu aisee.amewabeba kama wa kwake
Weee sasa amenyoa para nayeye? Wanaonana na mmewe? Msosi anakula wa huko?Shamimu kakonda hatari..kachakaa mno yani..sema wamempa unyampara.
Picha yake mkuuShamimu kakonda hatari..kachakaa mno yani..sema wamempa unyampara.
Kama ni kweli walikuwa wauzaji, waozee huko jela. Sidhani kama kuna familia hazina waathirika wa drugs. Hao watoto wao watatu hawazidi maelfu wanaoharibika mitaaniDaah bora atoke .wale watoto maskini.ila monica ana roho ya dhahabu aisee.amewabeba kama wa kwake
Gerezani ukienda kutembelea mtu au kwa shida yoyote ile any electronic device unaacha getini.Picha yake mkuu
Maswali yako naona hadi uvivu kuyajibu mkuu.Weee sasa amenyoa para nayeye? Wanaonana na mmewe? Msosi anakula wa huko?