Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Mit 1:10-16​

Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali. Wakisema, Haya! Njoo pamoja nasi, Na tuvizie ili kumwaga damu; Tumwotee asiye na hatia, bila sababu; Tuwameze hai kama kuzimu, Na wazima, kama wao washukao shimoni. Tutapata mali yote ya thamani, Tutazijaza nyumba zetu mateka. Wewe utashirikiana nasi; Tutakuwa na vitu vyote shirika. Mwanangu, usiende njiani pamoja nao; Uzuie mguu wako usiende katika mapito yao. Maana miguu yao huenda mbio maovuni, Nao hufanya haraka ili kumwaga damu.
 
Jela sio Mchezo Shamimu kapauka aiseeee.
Hapo kapuka mbona ni kisu hatari kuliko hawa tupo nao hapa kitaa... basi huyo manzi ilikuwa ni machine ya SGR maana bado anang'aaa bwana weeee.. kwanini nisifungwe kwa niaba yake mala moja moja nikija kata magogo uraiani ananipea kiduchu 😀😀😀.. hizi akili sio zangu
 
Huu utetez sijaukubal labda ungesema bashite alikua anajua biashara za nsembo labda ukatokea ugomvi bashite kaamua kumchoma lakn sio eti alimuwekea dawa nyumban
 
Watu kama hawa ilipaswa Serikali iwaahidi adhabu kidogo kwa makubaliano ya hawa kuutaja mtandao wao woooote kuanzia huko nje na humu ndani. Kuwatupa ndani maisha bila kuwakamua information za kutosha haitoshi
Kwani unafikiri hawawataji? Hao maDon hawakaagi na mzigo muda mrefu, wanawahi kuutawanya kwa mapunda wao... kwahiyo ngumu kuwashtaki bila kielelezo au ushahidi...labda utumie ubabe kama Dutuerte wa ufilipino
 
Umeongea point kweli....haya mambo ya shotcut au kutaka upige hela ili uje umfirahishe mwanamke unaweza jikuta unaingia sehemu siyo

Ova
Muda mwingine unabidi tu ufanye kuondoa maneno ya shombo kwa mwenza wako
 
Kwahio nguvu kazi walioiharibu kwa kipindi chote hicho akina Langa na Ngwair we unaona wanastahili kurudi mtaani?
Mkuu makosa husameheka, na adhabu hupunguzwa. Kama binadamu kila mtu na makosa yake. Na mbaya zaidi wengine wana bifu na Mungu.. maandiko yanasema Ugomvi wa mwanadamu kwa mwadamu Mungu usamehe na kurehmu.. haya sasa Tafrani la Mungu na mwadamu nani ataamulia. Ni kweli wamesababisha madhara, ila pia wawe na nafasi ya msamaha wa kulipia haya kwakutumia na jamii pia na miaka kazaa jera. Walitakiwa wapigwe 15, na kufanya usafi mwaisela miaka 15 na kutaifishwa nusu ya mali. Wana familia wale

cariha soma na hii ndio uelewe.. usiwe unashobokea wachawi
 
Hii imekaa kama story za vijiweni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…