Pre GE2025 Shamira Mshangama atoa mchango wa tofali na saruji kwa ujenzi wa nyumba ya Katibu wa UVCCM Dodoma

Pre GE2025 Shamira Mshangama atoa mchango wa tofali na saruji kwa ujenzi wa nyumba ya Katibu wa UVCCM Dodoma

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Viti vitatu Bara Ndg. Shamira Mshangama katika ziara yake ya Mkoani Dodoma ametembelea na kukagua ujenzi wa nyumba ya Katibu na kuchangia tofali 500 na mifuko 10 ya simenti kwa
Snapinsta.app_482399261_18305313955226150_7788210085076044890_n_1080.jpeg
Mwanyemba kwenye ujenzi wa nyumba hio ya katibu wa UVCCM mkoa wa Dodoma ambayo iko katika hatua za mwisho.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Naamini nyumba hii ya Katibu wa UVCCM ikikamilika itaenda kupunguza baadhi ya gharama ambazo Jumuiya inaingia katika kumtafutia sehemu ya kuweka malazi Mtendaji wetu wa vijana mkoa wa Dodoma, pia sasa itakuwa ni rahisi kwa Jumuiya kujua ni wapi tunaweza kumpata Mtendaji wetu kwa haraka zaidi”. Ameongeza Mshangama

Snapinsta.app_482803387_18305313997226150_8294325171043404006_n_1080.jpeg
Snapinsta.app_482190708_18305313946226150_4558796340989139866_n_1080.jpeg
 
Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Viti vitatu Bara Ndg. Shamira Mshangama katika ziara yake ya Mkoani Dodoma ametembelea na kukagua ujenzi wa nyumba ya Katibu na kuchangia tofali 500 na mifuko 10 ya simenti kwa View attachment 3258002Mwanyemba kwenye ujenzi wa nyumba hio ya katibu wa UVCCM mkoa wa Dodoma ambayo iko katika hatua za mwisho.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Naamini nyumba hii ya Katibu wa UVCCM ikikamilika itaenda kupunguza baadhi ya gharama ambazo Jumuiya inaingia katika kumtafutia sehemu ya kuweka malazi Mtendaji wetu wa vijana mkoa wa Dodoma, pia sasa itakuwa ni rahisi kwa Jumuiya kujua ni wapi tunaweza kumpata Mtendaji wetu kwa haraka zaidi”. Ameongeza Mshangama

View attachment 3258003View attachment 3258001
well done comrades 👊💪
 
Hawa wanatoa michango kama hii,watagombea nafasi za uongozi October 2025?
Au wanatoa zawadi TU?
 
Yaani mchango mzima haufiki hata milioni 1 ndio mnaleta kama habari ya kupatia kiki?!
 
Back
Top Bottom