Shamsa Ford akanusha kutoka na Nay wa Mitego kimapenzi

Shamsa Ford akanusha kutoka na Nay wa Mitego kimapenzi

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304


Msanii wa Filamu Nchini, Mwanadada Shamsa Ford amekana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwana hip hop,Elibarik Emamanuel 'Nay wa Mitego' na kuweka wazi kuwa wako mbioni kuachia filamu yao mpya ya Manyaunyau.

Akizungumza na mtandao huu juzi,Shamsa alisema, kinachoendelea kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii ni Promosheni kwa ajili ya ujio wa filamu hiyo waliyoshirikiana,iliyopangwa kutoka mwanzoni mwa mwezi Mei mwaka huu.

"Hatuna uhusiano wa namna hiyo zaidi ya uhusiano wa kikazi, kwani tumeshirikiana kuandaa filamu yetu itakayofahamika kwa jina la Manyaunyau na tupo katika hatua za mwisho kabisa na mashabiki wakiiona ndo wataamini nini kilikuwa kinaendelea kati yetu," alisema.

Alisema jina la filamu hiyo limetolewa na Nay mwenyewe kutokana na aina ya filamu yenyewe ambayo inalenga familia 7 zinazoishi katika mvurugano,zikiwa kwenye maisha ya hali ya kati.
 
Mmmmh

Anavyowaita dada wa Ney wifi????
Nayo ni sehemu ya filamu??
 
Teh teh....''manyaunyau'' coming soon in theaters.....tanzania blockbuster....book your ticket now....
 
Msanii wa Filamu Nchini, Mwanadada Shamsa Ford amekana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwana hip hop,Elibarik Emamanuel 'Nay wa Mitego' na kuweka wazi kuwa wako mbioni kuachia filamu yao mpya ya Manyaunyau.

Akizungumza na mtandao huu juzi,Shamsa alisema, kinachoendelea kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii ni Promosheni kwa ajili ya ujio wa filamu hiyo waliyoshirikiana,iliyopangwa kutoka mwanzoni mwa mwezi Mei mwaka huu.

"Hatuna uhusiano wa namna hiyo zaidi ya uhusiano wa kikazi, kwani tumeshirikiana kuandaa filamu yetu itakayofahamika kwa jina la Manyaunyau na tupo katika hatua za mwisho kabisa na mashabiki wakiiona ndo wataamini nini kilikuwa kinaendelea kati yetu," alisema.


Alisema jina la filamu hiyo limetolewa na Nay mwenyewe kutokana na aina ya filamu yenyewe ambayo inalenga familia 7 zinazoishi katika mvurugano,zikiwa kwenye maisha ya hali ya kati.

Ndiye huyu?
 

Attachments

  • 1428660705590.jpg
    1428660705590.jpg
    38.9 KB · Views: 657
Mh!hii sasa si manyau tena inaonekana kama kimburu au pakashume vile!
 
Back
Top Bottom