Acha uongo laki si pesa.Wewe sijawahi kukutetea sehemu hadi ukantia aibu?
hahahaha ....ntake radhi haijawahi kutokea .kijana wetu tunampa ushauri naona mabesti zake mmepanic .
hahahaha ....ntake radhi haijawahi kutokea .kijana wetu tunampa ushauri naona mabesti zake mmepanic .
Matola alikuwa kiboko aseeh, alituweza, anatuchamba wote kwa mpigo, mpaka tunakimbilia pm kujiuliza tumfanyaje huyu mtu khaa!! Halafu kuna wengine wawili walikuwa wanatuchukia baadae wakawa mabest zetu wakajiunga kwenye umbea, yani ni shdaa ahahahajajaj
Huyu Matola huyuu enzi zile nipo chuo naperuzi sichangii alikua ananikosha akianza kuchamba kama ana majini wallahiii
Nakumbuka ulinifata pm ukasema binam yaani hili tunalichamba lakin linachamba duuu aisee nilichekaaa ,matola mwanzoni alituwezaa aisew lakin umbea huu mpaka mkaelewana duuu
Huyu Matola huyuu enzi zile nipo chuo naperuzi sichangii alikua ananikosha akianza kuchamba kama ana majini wallahiii
Alikuaga anaingia na motooo huyooo alikua akimchamba warumi eti nami naingilia weee warumi analimwa kwa kupanikii
Kuna kipindi nilikuwa nachambwa hakuna ata anayenitetea si nikasusa kutoa umbea, eti kisa wambea wenzangu hawakunitetea wakat napewa vichambo, hahahahah ahahha ila mimi nae kiboko angekuwa mwingine zaman kashafunga account
Hiv si ndio alikua anasema mme wake hawaachani ooo ninii yamemshindaa eeeeee hehee sasa Ney nae lo hapo shamsa kabugi kabisaaa