Huyu warumi ni jinsia gani? Au mambo safi?
Mimi nimeshindwa kumuelewa ukihisi ni me unaona vitabia vya kike,ukihisi ni ke kwa mbali unaona vitabia vya kiume mimi nafikiri huyu atakuwa mchicha mwiba.
Nipo segerea binamu nimedakwa
Mmmh!! Baba kijacho sio kukomaa kule, ukikaona live kamekomaa kafupi kabaya, uko insta filter zinamsaidia, ata hawaendani na zari kwa kweli, yani kama mtu na housboy wake
Habar ndio hyo
Ndomo ujamuona live wewe, kwanza umuonee wapi wakat upo nyamagana uko, yani kibaya kimekauka na kukomaa hatar
Ndomo ujamuona live wewe, kwanza umuonee wapi wakat upo nyamagana uko, yani kibaya kimekauka na kukomaa hatar
Mimi nimeshindwa kumuelewa ukihisi ni me unaona vitabia vya kike,ukihisi ni ke kwa mbali unaona vitabia vya kiume mimi nafikiri huyu atakuwa mchicha mwiba.
warumi anawawakilisha wanaume wa Dar
We muache tuu huyo mbemba pochii