Naona collabo ya laki si pesa na lolowapi imenoga sasa.
Kuna siku mlinisema weee nikakausha leo mmemuamulia warumi!
Naona collabo ya laki si pesa na lolowapi imenoga sasa.
Kuna siku mlinisema weee nikakausha leo mmemuamulia warumi!
Zamu yetu na sisi ma celebrities wa jf kuchambwa, haaaaaaaaaa haa
Mimi na Dinazarde tumeshachambika sana mpaka binamu yangu akawa anaji quote mwenyewe, nyie umbea huu ila bado tu hatukomi, kweli umbea upo damuni, hawa sisimizi tu hawatusumbui vichwa, kuna watu wanachamba wewe mpaka unaharisha, yan nikikumbuka nacheka, jukwaa nilikuwa naliona chungu, hqhqhahahahahahq
Mimi nimeshindwa kumuelewa ukihisi ni me unaona vitabia vya kike,ukihisi ni ke kwa mbali unaona vitabia vya kiume mimi nafikiri huyu atakuwa mchicha mwiba.
Sie wengine tulichambwa mpaka u turn
Mimi na Dinazarde tumeshachambika sana mpaka binamu yangu akawa anaji quote mwenyewe, nyie umbea huu ila bado tu hatukomi, kweli umbea upo damuni, hawa sisimizi tu hawatusumbui vichwa, kuna watu wanachamba wewe mpaka unaharisha, yan nikikumbuka nacheka, jukwaa nilikuwa naliona chungu, hqhqhahahahahahq
Hili swala la jinsia ya huyu mtu nishahoji zaid ya mara 10 but sijawahi kupata jibu sahihi, mwanaume kamili hata akitumia ID fake utamjua tu kwa maneno yake anayoandika, ila ukiona mwanaume anatumia maneno kama 'kuchambwa', 'kusutwa' lazima kuna hitilafu somewhere
Sie wengine tulichambwa mpaka u turn
Halafu anatetewa sana na jinsia ya ke,,why?
Halafu anatetewa sana na jinsia ya ke,,why?
Nilitaka kuvunjika mbavu aisee yaan mtu mpaka unajiqoute mwenyewe unajichamba khaaaa????ilikua shidaaa hata weee ushajichamba halaf tukahamia pm tulichekajeee huyu matola huyu alitujambishaa
labda wanahisi ni mwenzao
mbona hata nyie ni wanawake tu maana humu hamtoki mmo tu mnamjadili warumi kawalia nini chenu?hebu mumuwache hamtaki vunjeni machungwa
mbona hata nyie ni wanawake tu maana humu hamtoki mmo tu mnamjadili warumi kawalia nini chenu?hebu mumuwache hamtaki vunjeni machungwa
Halafu anatetewa sana na jinsia ya ke,,why?
Kuna wakat nakumbuka nilipewa ban, wakawa wanakuchambaje umebaki mwenyewe mpaka nikawa nakuonea huruma, ulikua mpole nilikuwa nacheka mbavu sina
Matola alikuwa kiboko aseeh, alituweza, anatuchamba wote kwa mpigo, mpaka tunakimbilia pm kujiuliza tumfanyaje huyu mtu khaa!! Halafu kuna wengine wawili walikuwa wanatuchukia baadae wakawa mabest zetu wakajiunga kwenye umbea, yani ni shdaa ahahahajajaj