Shamsa ford: Sina rafiki star bongo movie

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
STAA wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa hana rafiki yeyote maarufu ndani ya Bongo Movies.

Akizungumza na paparazi wetu, Shamsa alisema kuwa tangu huko nyuma alishawafuta marafiki wote ambao ni wasaliti na badala yake mtu pekee ambaye ni rafiki yake ni mwigizaji mwenzake, Wellu Sengo ambaye anachipukia.

"Unajua ni bora uwe hata na rafiki mmoja ambaye anakujali na kukuthamini, wengine wote mimi niliwafutilia mbali kwa sababu ukiwa nao wengi wanaweza kukutia hata ' stress' zisizokuwa na maana kabisa ," alisema Shamsa.
 
Wema amekusikiaaa subiri akujibu nae
 
Kwanii yeye anaetaka ushoga na yeye nani? jamani hawa watu wanapenda magazeti..........
 
kwanza mambo ya ushoga ukiyaendekeza utakuja juta siku moja,wengi wanaachika kwasbb ya mashoga au kuharibiana mambo fulani flani hlf hao hao bdae wanakucheka,m mwnyw sina shoga ila n baadhi ya w2 nnaojuana nao tu sitaki mtu wakunijua kiundani kiivyo.
 
Kwanii yeye anaetaka ushoga na yeye nani? jamani hawa watu wanapenda magazeti..........

Yeye na ucheusi dawa wake atamtaka nani mjini apa, nyota yenyew ya mende
 
Wema amekusikiaaa subiri akujibu nae

Cheus dawa nae ana visa, eti na yeye anatafuta scandal, aende kwa mama ubaya akaombe ushoga atatoka kweny magazet had achanganyikiwe
 
Anaogopa asiibiwe mume jamani...mume mwenyewe mbayaaa kutwa kumsifia huko insta,ooh u are the reason why I trust in love....ashukuru tu hivyo mbaya angeshachukuliwa chezea madada wa mujini wewe
 
Anaogopa asiibiwe mume jamani...mume mwenyewe mbayaaa kutwa kumsifia huko insta,ooh u are the reason why I trust in love....ashukuru tu hivyo mbaya angeshachukuliwa chezea madada wa mujini wewe

Aisee hebu muwekeee nimuone kama mbaya kweliii unajua macho yanatofautianaaa
 
Cheus dawa nae ana visa, eti na yeye anatafuta scandal, aende kwa mama ubaya akaombe ushoga atatoka kweny magazet had achanganyikiwe

Kama aunt siku hizi nae kila siku kwenye magazetii
 
Anaogopa asiibiwe mume jamani...mume mwenyewe mbayaaa kutwa kumsifia huko insta,ooh u are the reason why I trust in love....ashukuru tu hivyo mbaya angeshachukuliwa chezea madada wa mujini wewe

Ahaha ahaha, sura ka tak0 la khadija kopa, kakomaa kama mihogo ya kimbiji, ndo maana mastaa hawashobok
 
Lipo kama livuta bangi flan , jeusi ka miguu ya nyota ya ndogo

Hhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaa. Ndio linajifaidia shamsa looo ina maana Shamsa na uzuri wote kaishia hapooo
 
Hhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaa. Ndio linajifaidia shamsa looo ina maana Shamsa na uzuri wote kaishia hapooo

Wa kawaida ndo wazur, ma hb wakina hemedy si utajikuta mna share wanaume binamu, jama yupo kawaida as a man sio mbaya sana, na anaonekana yupo matured flan ivi so hajabug
 
Wa kawaida ndo wazur, ma hb wakina hemedy si utajikuta mna share wanaume binamu, jama yupo kawaida as a man sio mbaya sana, na anaonekana yupo matured flan ivi so hajabug

Lina inshu ganiiiii hilooo
 
akisema hana rafiki sasa sisi inatuhusu nn?!" ..........

Grand PA
 
Anaogopa asiibiwe mume jamani...mume mwenyewe mbayaaa kutwa kumsifia huko insta,ooh u are the reason why I trust in love....ashukuru tu hivyo mbaya angeshachukuliwa chezea madada wa mujini wewe

Looooh cha mtu kitemee mate....watu wanaangalia ankara hata kama sura kama nyayo ya ngedere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…