Wana jamii Forum mkaribisheni shangazi yenu leo ndio nimeingia rasmi. Hapa ni ukweli na uwazi tu na haku*a maju*gu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA KASORO MAFISADI WALIO NDANI YAKE
Wana jamii Forum mkaribisheni shangazi yenu leo ndio nimeingia rasmi. Hapa ni ukweli na uwazi tu na hakuma majumgu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA KASORO MAFISADI WALIO NDANI YAKE
Shangazi karibu ndani ya JF, tunategemea kupata mengi kutoka kwako. Mjomba nae ataingia lini? Shangazi si unajua herufi 'm' na 'n' zipo karibu karibu sana kwenye bao bonye(keybord), fanya edeiting ya hiyo sentensi yako.