Shangwe popote ukiwa na M-Pesa yawafikia wateja wa Dar es Salaam na Pwani

Shangwe popote ukiwa na M-Pesa yawafikia wateja wa Dar es Salaam na Pwani

Blasio Kachuchu

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
366
Reaction score
243
VODACOM%20WESE%20ACTIVATION%20-%20SURVEY%201.jpeg

Meneja mauzo wa Vodacom Tanzania Plc Mkoa wa Pwani Suleiman Amri (katikati) akiweka mafuta yaliyotolewa bure kwa wateja wa kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kwenye gari ya Ramadhan Kalafya (kushoto) Ikiwa ni mwisho wa kampeni yao ya kurudisha tabasamu kwa wateja katika msimu wa sikukuu inayoitwa ‘Shangwe popote ukiwa na M-Pesa.


Msimamizi wa mauzo kutoka Vodacom Tanzania Plc Mkoa wa Dar es Salaam Neema Lucas (katikati) akiweka mafuta yaliyotolewa bure kwa wateja wa kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kwenye gari ya John John (kushoto) Ikiwa ni mwisho wa kampeni yao ya kurudisha tabasamu kwa wateja katika msimu wa sikukuu inayoitwa ‘Shangwe popote ukiwa na M-Pesa.


Msimamizi mauzo kutoka Vodacom Tanzania Plc Mkoa wa Dar es Salaam Nakiete Mshana (kulia) akiweka mafuta yaliyotolewa bure kwa wateja wa kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kwenye gari ya Beatrice Msofero (katikati) Ikiwa ni mwisho wa kampeni yao ya kurudisha tabasamu kwa wateja katika msimu wa sikukuu inayoitwa ‘Shangwe popote ukiwa na M-Pesa.

Msimamizi wa mauzo kutoka Vodacom Tanzania Plc Mkoa wa Dar es Salaam Mishi Bakari (kulia) akiweka mafuta yaliyotolewa bure kwa wateja wa kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kwenye pikipiki ya Daud Neto(katikati) Ikiwa ni mwisho wa kampeni yao ya kurudisha tabasamu kwa wateja katika msimu wa sikukuu inayoitwa ‘Shangwe popote ukiwa na M-Pesa.
 
Sawa



Sisi Wa Vidumu Japo Mafuta Ya Taa Tuweke Kwenye Kandiri, Koroboi Tutafikiwa Lini?
 
Back
Top Bottom