Share experience yako; kati ya YouTube na Blogu ipi ni nzuri kwa Google Adsence?

Share experience yako; kati ya YouTube na Blogu ipi ni nzuri kwa Google Adsence?

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Wakuu salama?

Mimi ningependa kufahamu kwa wajuzi kuwa kati ya Blogu au tovuti na YouTube ipi ukiunganiswa na Google Adsence inalipa vizuri? Yaani wapi unaweza earn Pesa kubwa kati ya YouTube na Blogu yaani YouTuber na Blogger nani anaweza faidika zaidi na Matangazo ya Google.

Pia unaweza ongeza hivi kuna Makampuni ya Matangazo unaweza kuunganisha ukatangaza kupitia YouTube kama ilivyo kwa blog na website?
 
Neither both...
Kama unataka kutengeneza kipato kwa blog au youtube ukweli ni kwamba inahitaji uwekezaji mkubwa sana na itakupotezea muda tuu naongea from experience tafta inshu nyingine mtandaoni blog na Youtube ziwe kama kichocheo tu
 
Neither both...
Kama unataka kutengeneza kipato kwa blog au youtube ukweli ni kwamba inahitaji uwekezaji mkubwa sana na itakupotezea muda tuu naongea from experience tafta inshu nyingine mtandaoni blog na Youtube ziwe kama kichocheo tu
Upo sahihi mkuu na nimekuelewa hapa ningependa kujua tu kati ya hivi vitu viwili kipi bora ili kama unafanya kama party time ujue wapi uwekeze nguvu zaidi ya kwingine.

Mfano mimi nataka nijikite na YouTube kama ipo vizuri harafu niachane na blogu licha ya vyote ni party time.
 
YouTube ni large community yenye billions of viewers, chances za video zako kuonekana ni kubwa sana.

Ila blog hakuna mtu atakayekuwa anahangaika kila siku kuingia kwenye blog yako, unless uweke very interesting stuffs. Na siku hizi watu wengi wavivu kusoma.
 
YouTube ni large community yenye billions of viewers, chances za video zako kuonekana ni kubwa sana.

Ila blog hakuna mtu atakayekuwa anahangaika kila siku kuingia kwenye blog yako, unless uweke very interesting stuffs. Na siku hizi watu wengi wavivu kusoma.
Hapo kweli nimekupata.
Kwa Mtu mwenye bundle la kutosha hukimbilia YouTube ila kuingia kwenye search engine kutafuta kitu chenye maandishi labda akiwa na bundle kidogo na mixer uvivu wa kusoma.
 
Sijaju kwa upande wa mpunga wapi inalipa zaidi lakini kitu laisi kufanya ni blogging kuliko youtube maana uandaaji wa contet upo tofauti youtube inaitaji mambo mengi
 
Kwenye Blog kuna ela kuliko YouTube.

Ila sio Blog ya Kutegemea traffic ya Bongo. Japo ata ukipata traffic ya kutosha ya bongo utapiga ela kwenye blog.

Lets say kibongo bongo Blog ukiweza kuingiza watembeleaji (traffic) ya watu elfu 50 daily utaweza kupiga olmost dollar 50 mpaka 70 ila ukipata views elfu 50 kwa siku YouTube utaingiza olmost dollar 10 mpaka 20.

Naamisha kwamba Mtu aliepata Views elfu 50 YouTube izo views ukizipelekea kwenye blog atapata ela nyingi kuliko izo ulizozipata kwenye YouTube kwa views hao elfu 50. Ishu ni kupata hao views elfu 50 kwenye Blog ni ngumu ukicompare na YouTube

Muhimu kuliko yote ni uwe na Traffics (Watembeleaji)
 
Back
Top Bottom