Share movies au series na mahudhuhi kwa kifupi.

Hollywood
Title: A soldier's love story
Hii inahusiana na soldier alokuwa ameachwa na mpenz wake kisa ni mwanajeshi akaja mpenda mdada mwingine alikuwa ameachika kwa mme wake.
Ni moja ya love story nzuri saaaaana afu itakuacha umejaa machozi machoni na bado umetabasamu
(What a happy ending)[emoji4][emoji4][emoji4]...
Ni nzuri sana, yaani sana sana sana. Hii pia ya kuangalia na mpenzi wako[emoji4]
 
Hii nitaitafuta napenda love story
 
Mi naangalia romantic movie tu...nilijikataza angalia nyingine[emoji23] ushaangalia ya forever my girl au ile ya me before you?
Sijaangalia mkuu niandikie movies au series mzuri 😂😂😂sikukuu nikiwa home nizicheki mpaka nilie mwenyewe yaani love story Zina hisia jamanii
 
Hapo nshakupa NNE...[emoji23][emoji23] afu uzuri ninazokutajia zipo you tube pia. Veeery romantic...nakuonea wivu nawish ningekuwa sijaziangalia. Kuna hii inaitwa love comes softly... Icheki pia, ni tamu sana. Ukimaliza unambie nikupe nyingine[emoji4]
Sijaangalia mkuu niandikie movies au series mzuri [emoji23][emoji23][emoji23]sikukuu nikiwa home nizicheki mpaka nilie mwenyewe yaani love story Zina hisia jamanii
 
Anza na hii, trust me hautajutia bundle lako[emoji4]
 
Asante mkuu
 
Hii usisahau nakusisitizia...mi iliniliza kama mtoto.
 
Hivi ushaangalia ile ya 'diary of mad black woman'? Iangalie uone wanaume wanavobadilika wakipata hela. [emoji23][emoji23] nzuri pia...ni kind of romantic.
😂😂😂😂😂Unaonekana ni kwikwi kwenye love story
 
"Maudhui"
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hatari.
Hizi Ukianza kuangalia unakuwa kama una kaugonjwa wallah unaweza kulala hata saa nane usiku Kuna watu wako serious kwenye kuigiza kwa kweli.
 
Hahahaha, yaani inakuwa bandika bandua...unalala asubuhi.
Hizi Ukianza kuangalia unakuwa kama una kaugonjwa wallah unaweza kulala hata saa nane usiku Kuna watu wako serious kwenye kuigiza kwa kweli.
 
Hahahaha, yaani inakuwa bandika bandua...unalala asubuhi.
🤣🤣🤣🤣Niliwahi kuchelewa job kwa kulazimisha kufuatilia series nikasema ngoja niache mwenzi nisiangalie asubutu kwani niliweza
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niliwahi kuchelewa job kwa kulazimisha kufuatilia series nikasema ngoja niache mwenzi nisiangalie asubutu kwani niliweza
Ni kama ulevi aki...[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…