Share Nasi Hapa Cheat Code Ya Mazoezi Yoyote

Kimbia kwa spidi ya juu bila kupunguza kwa nusu idadi ya raundi unazokimbia siku nyingine.

Mfano hua unakimbia raundi kumi za spidi ya kawaida, kimbia tano za spidi ya juu.
 
So far sijaona zoezi kali kama kukimbia na kuruka kamba!!

Kukimbia na kuruka kamba ni msingi wa mazoezi yote!!
 
So far sijaona zoezi kali kama kukimbia na kuruka kamba!!

Kukimbia na kuruka kamba ni msingi wa mazoezi yote!!
Hapo ni kama unataka pumzi, kupunguza misuli, flexibility na ukakamavu.

Kama unachotaka ni kuongeza misuli hayo mazoezi ni kikwazo.
 
Nilikua sijui hili
Ipo hivyo mkuu.

Mfano mabaunsa unaweza kukuta anakimbia mara moja kwa wiki.
Na hata mabondia ambao wana miili mikubwa wengi pumzi hua ni tatizo kwakua hawakimbii kama ambao miili ni midogo.
 
Kwenye boxing.
Ukiwa unafanya shadow boxing chukua dumbbells unazoweza kuzimudu kwa uzito wake na uwe unarusha ngumi huku umezishikilia dumbbells zako.

Hii itakupa ngumi nzito na spidi ya ngumi yako.
 
Ili kuepuka kupoteza muda na kushindwa kufanya baadhi ya mazoezi. Yaunge mazoezi yako katika routine ya siku moja.

Mfano, utapiga push ups 20, ukimaliza utafanya sit ups 20, ukimaliza utapiga squats 20.
Unaanza tena mwanzo na hii iwe bila kupumzika, kwakua hayo mazoezi hayahusiani hivyo hayatagusa eneo moja mara nyingi.
 
Ukiwa unataka kutengeneza nguvu za miguu utatakiwa kufanya leg press.
Ambayo ni hii hapa.


Lakini kwakua unaweza kua eneo ambalo hawana hii mashine badala yake unaweza kufanya zoezi hili.



Hilo linakuhakikishia kufikia matokeo yale yale ambayo ungeyapata kama ungefanya leg press
 
mkuu zinauzwa wap kwa dar

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Yanauma yamechubuka au kama yameviza?

Kama ni kuviza, usiache endelea ila shuka spidi uliyotumia nyuma yake. Ndani ya siku nne unakua uko sawa.
Mkuu nashukuru sasa Niko poa kabisa hakuna cha maumivu wala nn.

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
Zinapatkana wap kwa dar zinapouzwa?

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
mkuu zinauzwa wap kwa dar

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Kwenye pharmacy za wahindi Kariakoo na Posta.
Zamani hata Game (Mlimani City) walikua nazo sijui siku hizi.

Gym uliyopo ukimuuliza mdau yoyote atakupa dira.
 
Mkuu nashukuru sasa Niko poa kabisa hakuna cha maumivu wala nn.

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
Pamoja sana mkuu
 
Naomba nielekeze kwa kariakoo mtaa gan

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Na bei imekaaaje.. Na jina lake niuliziaje

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Maisha ya Dar es salaam mazoezi tosha, uanze kufanya mengine tena!

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Na bei imekaaaje.. Na jina lake niuliziaje

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Bei inategemea na aina mfano whey protein hua naona zinaanzia 60k, 80k, 120k, na kuendelea.

Na kwa k/koo kuna duka lilikua pale Shimoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…