Share za ACACIA zazidi kuporomoka baada ya TRA kupeleka Tax Invoice

Acacia hawachomoi, wamesha wahi kutengeneza ripoti nyingi huko nyuma za kupika na za uongo, ipo kesi moja tra walishinda kwa hao hao jamaa ya kukwepa kodi !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtangazaji wa CGNTV aambaye ni mkaazi hapo Dar, alisema vijijini wananchi wamepigika sana na wanamuunga mkono Rais ila mjini Dar wananung'unika sana maana wengi maslahi yao yameguswa
 
Ivi maishani mwako ulishawai kujiuliza kwa nini kuna wanyama wanakula majani, wengine majani na nyama, wengine matunda na kuna wengineo wanawala wanyama wenzao

Basi ukipata jibu, ndio ujue kwamba sisi tuliliwa sana kipindi icho. Na sasa ivi tumepata wa kutupigania angalau. Kwa iyo acha kulilia lilia Wazungu ambao wanaona waafrika ni Nyani wasiositahiri kuwepo duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…