Mzalendo07
Member
- Feb 24, 2014
- 71
- 120
Hivi inaingia akilini mtu akikuambia VODACOM hawapati faida? Tangia wauze IPO kwa shilingi TSH 800/, Share zao hazijawai kupanda tena mpaka leo zimesimama kwa TSH 770/ na haziuziki. Hakuna mtu anazitaka hata kwa Tsh 600.
Hii maanaake ni nini? Ni kwamba hazina Value sokoni kwa kuwa azipandi thamani na VODACOM hawagawi mgawanyo wa FAIDA ata mara moja.
Cha kushangaza Serikali imekaa kimya, haijuwi jukumu lake ni kuwalinda wanainchi wasitapeliwa na kampuni kubwa kama hizi.
Hii maanaake ni nini? Ni kwamba hazina Value sokoni kwa kuwa azipandi thamani na VODACOM hawagawi mgawanyo wa FAIDA ata mara moja.
Cha kushangaza Serikali imekaa kimya, haijuwi jukumu lake ni kuwalinda wanainchi wasitapeliwa na kampuni kubwa kama hizi.