Sharo Millionea atoka Kivingine

Sharo Millionea atoka Kivingine

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
www.g 8.jpg
mchekeshaji maarufu Sharo Milionea akiamba na mpira kuelekea langoni mwa timu ya wachekeshaji ya Mwanza na kuipatia timu yake bao la nne, Dar Comedy walishinda 4-3
 
Mchezaji mwenzake anayefuatia (njano) ni Mtanga
 
haya tusubiri atatokaje tena...... UBUNGE au....
 
..dah kwani kuna jambo alilosifiwa ambalo hana au kuna sifa kapewa si yake?

Hata mi nimeshangaa,kijana kote ana fit stl hana makuu bt kwakua kila mtu ana ruhusiwa kutoa maoni yake wanao mponda poa2,tutawazuiaje sasa
 
Back
Top Bottom