TANZIA Sharon Abu afariki dunia

TANZIA Sharon Abu afariki dunia

Mwanakwetuuu

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2022
Posts
1,011
Reaction score
2,283
Wapendwa habari za usiku, tunasikitika kutangaza kifo cha dada yetu Sharon Abu kilichotokea huko marekani siku ya leo. Hata hivyo taratibu za mazishi zinaendelea kufanywa kwa ndugu na jamaa.

Katika mtandao wa Clubhouse alikuwa ni moderator wa room inaitwa "Ulimwengu wa Fikra". Our sister died because of cancer (R.I.P), she was working at World Bank.
 
Wapendwa habari za usiku tunasikitika kutangaza kifo cha Dada yetu SHARON ABU kilichotokea huko marekani siku ya Leo hata hivyo taratibu za mazishi zinaendelea kufanya Kwa ndugu na jamaa ,katika mtandao wa CLUBHOUSE alikuwa ni moderator wa room inaitwa ulimwengu wa fikra our sister died for Cancer R.I.P she was working at world Bank
Mungu amrehemu dada yetu japo simjui
 
Wapendwa habari za usiku tunasikitika kutangaza kifo cha Dada yetu SHARON ABU kilichotokea huko marekani siku ya Leo hata hivyo taratibu za mazishi zinaendelea kufanya Kwa ndugu na jamaa ,katika mtandao wa CLUBHOUSE alikuwa ni moderator wa room inaitwa ulimwengu wa fikra our sister died for Cancer R.I.P she was working at world Bank
Bwana alitoa,Bwana ametwaa;Jina la Bwana lihimidiwe [emoji120]
 
Wapendwa habari za usiku, tunasikitika kutangaza kifo cha dada yetu Sharon Abu kilichotokea huko marekani siku ya leo. Hata hivyo taratibu za mazishi zinaendelea kufanywa kwa ndugu na jamaa.

Katika mtandao wa Clubhouse alikuwa ni moderator wa room inaitwa "Ulimwengu wa Fikra". Our sister died because of cancer (R.I.P), she was working at World Bank.
giphy.gif
 
Rest well Madame.

Cancer ni nyoko, very bad. Tuilaani cancer itoweke duniani
 
Genes changes its behaviour and starts goes viceversa, [cancer]
REST IN COMPLETENESS OF JESUS CHRIST.
 
Wapendwa habari za usiku, tunasikitika kutangaza kifo cha dada yetu Sharon Abu kilichotokea huko marekani siku ya leo. Hata hivyo taratibu za mazishi zinaendelea kufanywa kwa ndugu na jamaa.

Katika mtandao wa Clubhouse alikuwa ni moderator wa room inaitwa "Ulimwengu wa Fikra". Our sister died because of cancer (R.I.P), she was working at World Bank.
Rip dada Sharon
 
Wapendwa habari za usiku, tunasikitika kutangaza kifo cha dada yetu Sharon Abu kilichotokea huko marekani siku ya leo. Hata hivyo taratibu za mazishi zinaendelea kufanywa kwa ndugu na jamaa.

Katika mtandao wa Clubhouse alikuwa ni moderator wa room inaitwa "Ulimwengu wa Fikra". Our sister died because of cancer (R.I.P), she was working at World Bank.
...Ungetuwekea Picha yake tukamfahamu. Sio Kila Mtu anamjua. R.I.P Sharon
 
Back
Top Bottom