TANZIA Sharon Abu afariki dunia

Mwanakwetuuu

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2022
Posts
1,011
Reaction score
2,283
Wapendwa habari za usiku, tunasikitika kutangaza kifo cha dada yetu Sharon Abu kilichotokea huko marekani siku ya leo. Hata hivyo taratibu za mazishi zinaendelea kufanywa kwa ndugu na jamaa.

Katika mtandao wa Clubhouse alikuwa ni moderator wa room inaitwa "Ulimwengu wa Fikra". Our sister died because of cancer (R.I.P), she was working at World Bank.
 
Mungu amrehemu dada yetu japo simjui
 
Bwana alitoa,Bwana ametwaa;Jina la Bwana lihimidiwe [emoji120]
 
 
Rest well Madame.

Cancer ni nyoko, very bad. Tuilaani cancer itoweke duniani
 
Genes changes its behaviour and starts goes viceversa, [cancer]
REST IN COMPLETENESS OF JESUS CHRIST.
 
Apumzike Kwa Amani
Mbele Yetu, Nyuma Yake
 
Rip dada Sharon
 
...Ungetuwekea Picha yake tukamfahamu. Sio Kila Mtu anamjua. R.I.P Sharon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…