..kuna watu wako juu ya sheria.
..hao ndio wanaoharibu mfumo mzima wa utawala nchini.
..tutunge sheria kila, na kila mmoja aguswe na sheria hizo.
..pia tuwe wakali ktk kuzilinda sheria hizo ili zisivunjwe.
..tuwe na BUNGE lenye meno. Bunge hilo ni lile ambalo halina ukiritimba wa chama kimoja.
..Mwisho tuwe na mahakama iliyo huru.