malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Wakuu naomba kuelekezwa namna yakutengeneza sharubati ya mboga za majani bila kuweka maji na je kuna mashine maalum ya kukamua mboga mboga kuwa sharubati?
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app