Shauri la Feisal kunguruma tena kesho Aprili 12, 2023

Shauri la Feisal kunguruma tena kesho Aprili 12, 2023

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Kamati ya sheria na hadhi za wachezaji ya TFF itakutana kesho tarehe 12. April.2023 saa 4:00 asubuhi. Kamati pamoja na mashauri mengine itajadili shauri la FEISALI SALUM ABDALLAH (Feitoto) aliyeomba kuvunja mkataba na klabu yake ya Yanga SC.

89C126E7-7EEF-41A5-AA62-1A7A3F1DC705.jpeg
 
Why wasifanye makubaliano Tu likaisha
Alielekezwa kuwa alikosea mwanzo, safari hii ameomba kuvunja mkataba na Yanga. Inawezekana akaambiwa ili uvunje fanya A,B,C ukishindwa ripoti kambini, au akaambiwa lipa faini ya utovu wa nidhamu kiasi hichi kwanza, omba radhi kisha fuata taratibu A,B,C uondoke. La muhimu ni afanikiwe anachotaka.
 
Alielekezwa kuwa alikosea mwanzo, safari hii ameomba kuvunja mkataba na Yanga. Inawezekana akaambiwa ili uvunje fanya A,B,C ukishindwa ripoti kambini, au akaambiwa lipa faini ya utovu wa nidhamu kiasi hichi kwanza, omba radhi kisha fuata taratibu A,B,C uondoke. La muhimu ni afanikiwe anachotaka.
Mpango wenu wa kwenda CAS imeisha wapi
 
Kwani nyumbani imeshashindikana? Ikishindikana ataamua kuwa kuna umuhimu wa kwenda au la. Anachotaka ni kuachana na Yanga na ndo ameomba aambiwe afanyaje.
Mwambie aende CAS hapo TFF anapoteza mda tutamchangia haki ya mtu haipotei kizembe
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Huyu dogo jinga sana, wakuombwa kuvunja mkataba ni Yanga siyo TFF, sijui anawaza kwamba TFF wanaweza waambia yanga kwamba vunja mkataba kama wao Yanga hawataki?
 
Back
Top Bottom