Shaving in Africa

Dingswayo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
4,019
Reaction score
2,925
Nilikuwa nashangaa huyu jamaa kakalia nini, au amejining'iniza hewani?

 
duuuuhhh hatari...
sijui lakini kama hao wa vijijii sana wajua mambo ya .....................
na hicho ni kiti tu kwake...
 
Ningewaza vinginevyo wangekuwa ni wapwani...
Ila baada ya kuona mgolole kwa mbali roho imetulia...
 
Halafu kaegamia utadhani yupo kwenye sofa!!
 
Wakuu, hiyo ni smg hapo pembeni, au naona vibaya?...Hawa watakuwa wa nyumbani kwetu hawa!
 
hizo menduki hapo pembeni ukisogea tu unakuwa historia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…