She can't even text a well written and easily understood sms..gosh!!


mwombe akufundishe lugha anayotumia ili mwende sawa!
 
Ila wanaboa sana,eti ok inaandikwa 'k'
 
Kongosho, kuna wengine wanaboa kweli: 2o8 ltr, nago str8 hm.:confused2:

Najua inaboa mno, na mie ndo huwa sielewi kabisa.
Lakini naona kama anampenda kama anavyosema, atamfundisha jinsi ya kuwasilaiana.
Angekuwa kicheche je?
Angalia na tofauti ya umri miaka 9 sidhani kama atashindwa fundishika unless ana matatizo ya akili.
 
take it easy, yupo mbaba najua ana miaka 41,mkichat kwa message lugha ni ya kifacebook, mnapokuwa serious na kazi kiinglish kimenyooka, na mzuri sana kazini, labda huyu anachat na wewe hivyo kwa kuwa ni mpenzi wake lakini kwa wengine anacommunicate vizuri tu, jaribu kuwauliza hata dungu zake wanaweza wakashangaa unachowaambia
 
Wewe unataka "text" au unataka "taste"?
 
Ha ha ha ha ha, mi naona anajali kitu ambacho si cha msingi sana.
Yawezekana mdada kimawasiliano yuko hatua kadhaa mbele ya huyu mhe. kiasi cha kwamba decoder ya Kijana wa kiume inachukua muda mrefu sana ku decode message za mdada. Ajaribu ku upgrade kumwenzesha ku cope na mambo ya dotcom ,
 
9 years maana yake wakati wewe uko darasa la tatu ndio yeye anazaliwa au?

That is not an issue, hatujui mtoa mada ana miaka ngapi... What if ana miaka 40? it means huyo mwanamke ni mama mzima wa 31 years sasa hivi.
 
this age difference is now becoming a problem ...going down to her level of understanding requires a homework..
 

Mkuu hapa umepiga chaka mbaya. Unafikiri inawezekana mtu kupisha umri na binti yake kwa miaka 9 tu? Sijawahi kusikia hii tokea nizaliwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…