She has unbreakable Hymen

Mpe panadol mkuu.. Af kandamiza kama kawaida
 
Mpe panadol mkuu.. Af kandamiza kama kawaida

Mkuu huwa nawaza home nipageuze thieter ninunue mavazi ya kijani kabisa na kikofia kile na mask nifanye upasuaji. Japo sina elimu ya utabibu.
 
Yaaan ww mkuu unatuaibisha wanaume wote kwa ajiili ya huo upuuz wako sasa demu bikra ulitegemea hako katobo kawe kakubwa?...hapo just one heavy kick...njia inafunguka halaf swala la kwenda kwa daktari naona umejiaibisha sana kwa kwel
 
rudi kwa gyano wa kiume, mwache naye ndani atanue njia ... wanajua how to handle this..
 
Hahahaaa sasa baada ya ganzi kuisha si watabidi wastop kwanza zoezi, je pakirudi tena km mwanzo?
 
Yaaan ww mkuu unatuaibisha wanaume wote kwa ajiili ya huo upuuz wako sasa demu bikra ulitegemea hako katobo kawe kakubwa?...hapo just one heavy kick...njia inafunguka halaf swala la kwenda kwa daktari naona umejiaibisha sana kwa kwel

Unachokiongea hukijui. Ila hii hali hutokea kwa baadhi ya wanawake. Jaribu kugoogle imperforate hymen utaelewa.. huwez kufanya lolote mpaka akapasuliwe hospitali. Hata huyu walisema tujaribu kama bado aende akafanyiwe upasuaji. Wewe bado unazaa na kama hujaoa take it kama somo ila usibeze.
 
Kama vp tafta mtu akusaidie maana we n muoga

Sio kila kitu ni kutumia nguvu, kama mwanaume nimetumia nguvu ila imeshindikana. Nmejaribu kusoma kwenye makala flan hv wanasema hio hali ipo kwa baadhi ya wanawake. Na hio mpaka akafanyiwe upasuaji. Ngoja kama kuna mdada ameshawahi pitia hii hali atakuja kutoa ushuhusa na mtaelewa.
 
Duh jaribu kutumia mda mwingi kumfanyia romance ili akili yake ijifunze kua sex Ni tendo la kuenjoy siyo maumivu then baada ya mda kadhaa unaanza ingiza kichwa huku unachezea kism simultaneously yaan fanya sex ukiwa na Nia ya kumfrahisha yy mpaka azoee Wala usimkamie saaaaaana ukamsokomeza lote utamfanya achukie ndoa
 
Mkuu gyno alikuwahi..! Kidole tu hakiwezi kumfanya aumie na kutokwa na damu..! Back to the topic mkuu ulioaje bila ya kujaribu? Hizi mambo za shake well before use uliisahau au? Assume wife anakuwa na shida kama hiyo na haitibiki utaweza kweli kuvumilia?!
Najua ndio dini zinasema usizini lakini kumbuka faida za shake well before use ni kubwa zaidi kuliko hizi za dini..! ( najua wafia dini wataninyamata[emoji23][emoji23][emoji6])
Shukuru wife hana tatzo lolote but what if ndo uke ungekuwa umezibwa na hilo jingozi gumu na hakuna njia ya mshedede kuingia..! Ungerudi kwa padure kumlalamikia kuhusu chaka uliloingia kwa kufata mawaidha yake?? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Yeah hiyo hali unayosema ipo na ni kushukuru tu amejitunza mpk that age the issue ni kwamba bikra jinsi inavyozidi kukaa na kuitoa pia inazidi kuwa ngumu if you are strong and tough enough itoe mwenyew lkn kama itashindikana chukua tu hiyo procedur
 
usijaribu kuchana na wembe au mkasi utatafuta makubwa zaidi kwa mkeo. ninachoshauri fanya nae mazoezi ya viungo kama wiki mbili hivi alaf uone kama itashindikana ila mazoezi hayo yawe yanahusu sana upanuaji wa miguu ila usianze kumtanua miguu kabla ya kurukaruka kuruhusu mwili upate uchangamfu na ikiwezekana fanya nae hata mazoezi ya kuendesha baiskeli duuh ila salute kwake miaka 30+ hajaguswa aisee
 

Ni Female gyno, mkuu niliforce king acha tu.. afu sio kizazi cha bodaboda ana 30+ na kama papuchi nshacheza nazo za kutosha sana na bikra tatu nimeshavunja.

Maisha magumu kiongozi, nna kazi yangu na maisha kawaida tu kibanda nk. Ila huyu mwanamke ni mgodi ( wewe ni mwanaume unanielewa)
 
Umetisha mkuu. Vp hana dada yake design ya mgodi na mie nijiweke?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Noted, Mkuu dunia ya leo hao wanawake wapo. Afu yeye alikuwa ananipenda sana tangu tukiwa chuo miaka 8 iliyopita nkawa nabwelabwela maana ni mlokole kinyama.. Yeye alikuwa anasomea paid professional mimi nasomea kozi zetu hz za kila siku kuandamana. Sikumtaka maana anamisimamo yake ya no sex.

Sasa ni mtu na maisha yake, kazi ya heshima sana, maisha mazuri na ni wife material. Amenisubiri nimerukaruka nshazaa watoto huko. Maisha yamenipiga mwisho nimerudi kwa mlokole wangu ndo mambo yakawa hvo.

Pesa ipo bana, nafanya starehe zote ila hili sasa ndo mziki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…