She has unbreakable Hymen

yani umeshindwa kutoa bikra kweli!!! wewe haujawahi kukutana na wanaolia ndio maana unasema hivyo.
Mkikutana muandae vyema (hapa unaelewa), hakikisha mashine iko strong pitisha pitia juu ajisahau unapiga pigo moja tu heavy (hakikisha mmefunga milango na madirisha majirani wasizani unaua), atalia sana sawa ila sawa na maumivu hata siku 5 poa tu.
Ikikushinda hiyo basi kamuambie dokta umeshindwa ili upasuaji mdogo ufanyike japo ni aibu kwako.
 
Mkuu hiyo bikra imekomaa. Mkiambiwa mtoe bikra mkiwa wadogo unabana pua ( mpaka ndoaa ) haya sasa, sikilizia maumivu yake. Mkuu bastisha hiyo kitu, fanya kama unagongea msumari kwenye mbao itatoka tu
Hahaaaaaa aiseee mkuu umenichekesha sana
 
Mkuu kamera. Kwanza hongera sana kwa kuingia katika taasisi takatifu ya ndoa. Nia njema yako iwasaidie kujenga upendo. Kama ulivyoapa kwenye shida na raha basi ndio hizi. Nadhani hata wewe ukiwa na shida mkeo atakusitiri. Pili hongera mno kwa kupata mke aliyejitunza . Mungu wa huruma awaweke pamoja.

Now kuhusu hio imperforate hymen kwa utaalam waangu mdogo mnooo haisabishwi na yeye kuwa bikira kwa muda mrefu la hasha bali ni tatizo ( obstruction) ambayo amezaliwa nayo na kwa bahati mbaya haikuweza kugundulika akiwa mtoto au msichana. Kama yalivyo magonjwa mengine ya kuzaliwa au ya tangu tumboni ( congenital malformation) basi imperforate hymen ni mojawapo. Hizi ni very rare cases na ni vigumu wazazi au binti kujua kama hajawahi kujaribu sex. Ila pia kiashiria kikubwa huwa ni maumivu makali ya hedhi. Si sawa kusema kuwa mwanamke lazma aumwe tumbo kwenge hedhi no akiumwa ni trigger tayari ya uchunguzi. Hata kutoka damu vitone vitone is a bad sign kwa mabinti. Jiulize monthly menstrual inaenda wapi? Ndio hio inamfanya aumwe na baadae itageuka kuwa another disease za uterus.

Je ugonjwa unatibika. Jibu ni ndio ila kwa wataalamu sahihi . Kwanza nashangaa kwanini gyno huyo alisema hana tatizo inaaana hajakutana na cases zenge such physiological presentation na hakubother kuchunguza. Kama mna uwezo tafuteni hata gyno mzuri nje ya nchi. Kwa umri wa mkeo hip hymen imekomaa and it needs an extremy caref gyn/ surgeon kuikata. Its a simple procedure but requires high precision.
Wakati wa recovery wanaweza kumpa vifaa vya kudilate njia pole pole . Kwa nia njema uliyo nayo mshike mkono mkeo mpe moyo na msaidie atatue tatizo hili.

Na wakuu wengine ni rai hasa wamama tuwe tunafuatilia kwa mabinti wanaposema wana maumivu makali ya hedhi take trouble kumuuliza na kumfanyia uchunguzi.

All the best mkuu Mungu awatangulie. Hiki ndio kipimo cha upendo. Kujitoa hata kama unaumia.
 
Brother Kamera pole kwa yanayokusibu kaka, kweli hapo kuna tatizo, lakini pia inawezekana mwenzako anazidisha kilio na tayari ameathirika kisaikologia kwa maaana ukigusa tu yeye ni kilio yalaaaaaaaa wakati wewe unarambaza rambaza tu. Sasa hapo kuna mawili mkuu. Kwanza unaweza google mikao ya kumweka mwenye bikra na jinsi ya kuua. Pili tafuta wamama wakunga watu wazima umpeleke mamsap akasetiwe uwanja huo. Mke wangu baada ya kuzaa mtoto wa kwanza tumbo lilikuwa kubwa utadhani ana mimba ingine, dawa zote za kuondoa tumbo tulimaliza, peleka kwa bibi mkunga pigwa maji ya moto kelele mpaka mtaa wa tatu huko, wiki tu amerudi shepu. Peleka huko halafu wewe kimbia mbio usitafute ushahidi, utarudi baadae kumpitia maana huruma hailei mwana
 

Kinyau umetusaidia wengi hapa, hasa sisi tuliokuwa na mabinti.
 
WASHA MZIKI MKALI SIKU HIYO FUMBA MACHO ZIBA MASIKIO USIMWANGALIE USONI CHOMEKA MASHINE ZAMISHA MPAKA NDANI CHANA CHANA...WALA USIONEE HURUMA...WALA USIJALI MISUKUMO YAKE...WEWE ENDELEA KUPUMP HATA KAMA ANALIA...PUMP MPAKA UKOJOE ALAFU NDO UMWACHIE...UTAKUWA UMESOLVE TATIZO....
 
Mpige nusu kaputi akijaamka ww ushashindilia dyudyuu bikra kwisha , au sindano ya ganzi mambo mengine simple
 
Mpeleke hospitali akaongezewe njia. Hii kesi aliyonayo mkeo hutokea na sio kweli kwamba imesababishwa na kutokufanya mapenzi akingali mdogo bali ni maumbile tu
 
Jifunze kumweshimu mkeo kabla hujaoa, siku ukioa utanielewa.
Wewe mwenyewe umechepuka mpaka unaoa unaongelea heshima gani?
Utachepuka tena coz hata ikifunguka lazima atakuwa sio mzoefu so atakuwa na std mabazo hujazoea.
 
Sasa mnasubiri nini?
Kapasueni

Maskini mkeo atabikiriwa na mikasi ya hospitali.Hiyo hata angewah udogoni asingechana.Ndo maana umemkuta hivyo
 
Du!
 
Jibu ni moja tu, alishajaribu mara kadhaa ikashindikana kwa sababu kama zilizotokea kwako.

Ndiyo maana alikaza kukupa mapema, usingeoa.
Hili ndilo Jibu.
Alafu ana moyo anajitunza kwa mwanamme ambaye alikuwa anaendelea na pilika zake za kingono kama hana mchumba vile.
 
Have u tried again this morning...!?

It might seal again bro
 
Sasa hao wachawi
 
Duuh huwezi kuwa serious...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…