She is very kissable!

Mdomo kama samaki fulani hivi walikuwepo ziwa victoria walikuwa wanaitwa MBETE
 
DUH!!Kweli nimeamini wonders never seize on earth,sasa ndo tumwite chai jaba au Six by Six?
 
Mdomo kama samaki fulani hivi walikuwepo ziwa victoria walikuwa wanaitwa MBETE

hao samaki jina lao ni domodomo wanapatikana sana pale Bunda Mkoani Mara na pia kwenye maeneo mengine kama Musoma kya bhakari pale ziwa victoria
 
kama samaki domodomo wa musoma pale
 
Kuna samaki anaitwa chuchunge nadhani ndo midomo yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…