Sheha na sheria

Ninux

Member
Joined
Oct 9, 2016
Posts
34
Reaction score
10
Hamjambo.

Mimi ni mstaafu na ninataka kupata "resident permit" kwa mara ya pili (renew) lakini ninalazimishwa kupata barua ya sheha.

Ninataka kujua kujua sheria gani sheha anaweza kukataa kuandika barua hii au kumzuia mtu ahamie shehia yake?

Si lazima atoe sababu maalum? Kwa mfano wizi, uuaji, ujambazi, n.k. Ingawa hapa ninapoishi pamejaa na wizi!

Asanteni sana
 
Mh! hata sijakuelewa mkuu!
Nataka kujua kulingana na sheria gani sheha anaweza kumzuia mtu ahamie shehia yake kwa kukataa kuandika barua inayotakiwa na idara ya uhamiaji?
 
Nadhani kwa shehia unaenda kuitambulisha tu kule uankohamia baada ya kupata barua kutoka kwa Shehia unayo hama.
Hawana mamlaka yoyote ya kukukataa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…