Shehe Kipozeo asema kuwa siyo kila jini ni Shetani

Shehe Kipozeo asema kuwa siyo kila jini ni Shetani

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Someni wenyewe hapo chini:

''Ndugu zetu wa damu wanajua wao kila jini ni shetani, kumbe kuna majini wengine waumini na wacha Mungu. na anasema mwenyezi Mungu (Sikuwaumba majini na wanadamu isipokuwa wapate kuniabudia mimi) kwahiyo siyo kila jini ni shetani ijapokuwa shetani mkubwa anatokana na majini (Ibilisi)

"Ndugu zetu wa damu wao kosa lao ni kudhania kila jini ni shetani, shetani hata binadamu wako mashetani. shetani ni yule mwenye kutia wasiwasi vifuani mwa watu. Shetani maana yake ni mtu yeyote muovu''

Sheikh Kipozeo

1720714574449.jpg
 
jina tu la shehe linaonyesha upigwaji...🤣
 
Ivi lile la usiku ndoto nyevu adi kufika juu peak ya mlima Kilimanjaro/ uluguru / mbeya nalo ni jini amaaaa?
 
Kila mmoja ashinde mechi zake, mkisubiri mshindi apatikane mtangoja sana.

Hili pambano ni zaidi ya derby ya Mnyama dhidi ya Kijani na njano.

Nawatakia mpambano mwema enyi wafuasi wa imani zenu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimeweka nukuu hapo chini:


PEPONI HAMNA KUJISAIDIA-SHEIKH KIPOZEO

''Peponi hamna kujisaidia, kujisaidia kwake ni kutokwa na jasho. Na jasho la mtu wa peponi tone moja likidondoka katika ardhi hii dunia nzima itanukia manukato ya ajabu kabisa, yaani Mungu kafanya ufundi kutengeneza pepo'' - Sheikh Kipozeo akihojiwa na EATV
 

Attachments

  • 1720718164816.jpg
    1720718164816.jpg
    119.2 KB · Views: 8
Wadau hamjamboni nyote?

Nimeweka nukuu hapo chini:


PEPONI HAMNA KUJISAIDIA-SHEIKH KIPOZEO

''Peponi hamna kujisaidia, kujisaidia kwake ni kutokwa na jasho. Na jasho la mtu wa peponi tone moja likidondoka katika ardhi hii dunia nzima itanukia manukato ya ajabu kabisa, yaani Mungu kafanya ufundi kutengeneza pepo'' - Sheikh Kipozeo akihojiwa na EATV
Dini zina stori za kitaahira sana😂.

Mbaya zaidi unakuta mtu ana phd bado anaamini huo utaahira.

Sasa kama hakuna kujisaidia, je kula kupo, kulala je, hilo jasho linatoka kwa sababu ya nini, kuna kazi za kufanya huko?

Maana kula ile stori alisema siku moja kwamba peponi kumejaa pombe tamu, ni kunywa tu, sasa ukinywa na hujisaidii inaenda wapi?

Achilia pombe, kuna mabikra 72 unapewa na huku umepewa nguvu za kula wanawake 100, maana yake daily wewe uko kwenye mashine, ni mtombano wa kufa mtu, pepo yote itakua inanukia uchi tu kama danguro huku Allah akiwa amekaa pembeni anafurahia waja wake wakipigana miti nonstop.

Kweli dini ni za watu wasio na akili kabisa.
 
Haya sasa kiko wapi Waislamu wamenipiga mikwara kwenye ka uzi kangu eti nawakandia ona kina Sheikh ubwabwa wanavyo wavua Kyupi
na hao ndio Wanazuoni wakubwa wanao waamini!
Bibi FaizaFoxy kiko wapi?
😁😁
 
Majin ni Wale Malaika waliohasi- ( Ufunuo 12:7-9) So akuna jini mwema wote ni Waovu mbele ya Mungu wa Isaka na Yakobo alie pia Mungu wa Ibrahim...... Kwa kuwa MUNGU wa Wakristo Sio Mungu wa Waislam (

Kol 1:13-14 SUV)​

hilo linawezekana kuwa na Majin ya aina mbili Mabaya na Mazuri!!
Shetani ameshindwa. Imeandikwa, Yakobo 4:7 "Basi mtiini Mungu, mpingeni Shetani naye atawakimbia."
 
Back
Top Bottom