Shehe Ponda: Chadema inaelekea Hatarini, Tukihubiri Demokrasia basi Tuitekeleze na tukidai Katiba mpya turekebishe za kwetu na Kwenye Ukomo tuwe mfano

Shehe Ponda: Chadema inaelekea Hatarini, Tukihubiri Demokrasia basi Tuitekeleze na tukidai Katiba mpya turekebishe za kwetu na Kwenye Ukomo tuwe mfano

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kichwa cha Habari ni maneno ya Busara Kutoka Kwa Kiongozi mkubwa wa Dini ya Islam Shehe Ponda

Shehe Ponda anasema Chadema inaelekea Hatarini Tukihubiri Demokrasia basi Tuitekeleze na tukidai Katiba Mpya turekebishe za kwetu na Kwenye Ukomo tuwe mfano

Ukurasani kwake X ni kauli ambayo imeripotiwa kusemwa na Sheikh Ponda:

"CDM inaelekea hatarini. Tusirudie makosa tunayoyaona katika vyama vyetu. Tukihubir Demokrasia basi tuitekeleze. Tukidai katiba mpya turekebishe na za kwetu. Tukipinga ukubwa wa madaraka au muda basi tuwe mfano. Viongozi CDM zingatieni maslahi ya CDM yapo kwenye UCHAGUZI WA HAKI."
Screenshot 2025-01-12 175549.png


Wosia kuntu kabisa 😂😄

Kwako Malaria 2
 
Wakuu,

Mambo huko CHADEMA yameendelea kupamba moto.

============================================================

Hii ni kauli ambayo imeripotiwa kusemwa na Sheikh Ponda:

"CDM inaelekea hatarini. Tusirudie makosa tunayoyaona katika vyama vyetu. Tukihubir Demokrasia basi tuitekeleze. Tukidai katiba mpya turekebishe na za kwetu. Tukipinga ukubwa wa madaraka au muda basi tuwe mfano. Viongozi CDM zingatieni maslahi ya CDM yapo kwenye UCHAGUZI WA HAKI."

Mwanzo.png
Source: Mwanzo TV
 
Huyu anatambulika kama Sheikh Ponda Issa Ponda! Na siyo Sheikh Hussein Ponda. Waambie Mods warekebishe hapo juu.
 
Uzuri wa huyu shekh huwa siyo kobazi kama mashehe wengine na huo ndo uzuri wake

Hana kabisa akili za kobazi kobaz
 
"Niponde nisiponde?? maalim Pondaaa" By Nash Emcee. 😎

-Kaveli-
 
Wakuu,

Mambo huko CHADEMA yameendelea kupamba moto.

============================================================

Hii ni kauli ambayo imeripotiwa kusemwa na Sheikh Ponda:

"CDM inaelekea hatarini. Tusirudie makosa tunayoyaona katika vyama vyetu. Tukihubir Demokrasia basi tuitekeleze. Tukidai katiba mpya turekebishe na za kwetu. Tukipinga ukubwa wa madaraka au muda basi tuwe mfano. Viongozi CDM zingatieni maslahi ya CDM yapo kwenye UCHAGUZI WA HAKI."

Source: Mwanzo TV
Sheikh Komba hajui anataka kusema nini. Ajipiganie mwenyewe kwenye kashfa zake, CHADEMA haipo naye.
 
Back
Top Bottom