Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,887
- 7,673
Habari za UHAKIKA 100% zilizonifikia hivi punde ni kuwa Shehena nzito ya FULANA, PICHA ZA MUUNGWANA ZA SIZE TOFAUTI, MAGARI, KHANGA, NK vinamaliziwa kufanyiwa clearance na kampuni ya Whind Freight Clearing and Fowarding. Clearance hiyo imeanza jana na bado MZIGO unaendelea kumimimnwa. Haijulikani gharama za kutengeneza mzigo huo mzito ni ya CCM au kuna vyanzo vingine vya mapato au wamekopa.
Hapo lazima kuna EPA Nyingine mwaka huu. Nakumbuka gazeti la Mwanahalisi lilishaandika kwamba fedha ya Ikulu ndo imetumika kwa kazi hiyo. Ukombozi wa nchi hii unahitaji safari ndefu.
Habari za UHAKIKA 100% zilizonifikia hivi punde ni kuwa Shehena nzito ya FULANA, PICHA ZA MUUNGWANA ZA SIZE TOFAUTI, MAGARI, KHANGA, NK vinamaliziwa kufanyiwa clearance na kampuni ya Whind Freight Clearing and Fowarding. Clearance hiyo imeanza jana na bado MZIGO unaendelea kumimimnwa. Haijulikani gharama za kutengeneza mzigo huo mzito ni ya CCM au kuna vyanzo vingine vya mapato au wamekopa.
Habari za UHAKIKA 100% zilizonifikia hivi punde ni kuwa Shehena nzito ya FULANA, PICHA ZA MUUNGWANA ZA SIZE TOFAUTI, MAGARI, KHANGA, NK vinamaliziwa kufanyiwa clearance na kampuni ya Whind Freight Clearing and Fowarding. Clearance hiyo imeanza jana na bado MZIGO unaendelea kumimimnwa. Haijulikani gharama za kutengeneza mzigo huo mzito ni ya CCM au kuna vyanzo vingine vya mapato au wamekopa.
Whind Freight Clearing and Fowarding ???? duhh...wapi uko south Africa?
Habari za UHAKIKA 100% zilizonifikia hivi punde ni kuwa Shehena nzito ya FULANA, PICHA ZA MUUNGWANA ZA SIZE TOFAUTI, MAGARI, KHANGA, NK vinamaliziwa kufanyiwa clearance na kampuni ya Whind Freight Clearing and Fowarding. Clearance hiyo imeanza jana na bado MZIGO unaendelea kumimimnwa. Haijulikani gharama za kutengeneza mzigo huo mzito ni ya CCM au kuna vyanzo vingine vya mapato au wamekopa.