Sheikh Gologosi afariki katika ajali mbaya

Duh GT mkuu hata kama humpendi kiasi hicho haifai ndugu yangu.. Tunajua Bakwata ni sumu ya Waislaam lakini inapofikia kifo mkuu wangu basi hata sema - Bwana ndiye aliyetupa, Bwana ametwaa (Ina Lillah wa ina Ilaihi Rajiun) inatosha...

unaanza ku sound kama mgala mambo haya umeyaanza lini?

huyu gorogosi hana tofauti na Abuu lahabi

serves him right au unataka nikukumbushe ndugu yangu Muyaka anvyosema?

Muuyaka anasema:

YU WAPI FIRAUNI
YU WAPI KARUNI
NA SHADADI MALUUNI
WOTE WAMEANGAMIA


narudia,kama alivypsema marhum sheikh Hemed Bin Jumaa pale uwanja wa taifa Juliasi nyerer alipokufa, MWENYEZI MUNGU AMPELEKE ANAKOSTAHILI...

Atakaye sikitika sana kwenye hili ni swahiba wake bwana Reginald Mengi
 
Mungu aiweke roho ya Marehemu Sheikh Gorogosi mahali pema peponi.Amen. TBC 1 wametangaza katika habari kwa ufupi ya saa 10 kamili.

kwa waislam siku yake ya peponi bado kwa sababu itabidi kwanza afufuliwe siku ya kiama kisha asomewe mashtaka yake hapo ndio itaamuliwa ataenda FIN'AARI JAHANAM au vipi

the bottom line huyu huwezi kumfananisha na al Marhum sheikh NURDIN SHADHLY au HEMED BIN JUMAA BIN HEMED kwani pamoja na mambo mengine wao walikuwa wamebobea kwenye EI'LM tofauti na Gorogosi
 
Jamani Jamani...
Mungu ni lazima aogopwe kwa kweli. Kwa maana yeye ndiye mkuu na muweza wa vyote. Shekh Gologosi tulimpenda sana, ila ALLAH alimpenda zaidi. Tumwombee kwa Mungu ili aweze kufika kuzimu salama.

TUNAUNGANA NA NDUGU WA MAREHEMU KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU CHA MAJONZI
 
sote ni wa mwenyezi mungu na kwake ndio marejeo,

Mungu awape subira wafiwa,

pana mwenye habari zaidi kuhusu ajali? je alikuwa peke yake tu au pana majeruhi nk
 
i HOPE SERIKALI HAITOTUMIA KODI ZETU KUGHARAMIA MAZISHI YAKE MAANA HAKUAJIRIWA NA SERIKALI

WAPO AKINA MENGI AMBAO NAJUA WATAJITOLEA KWA KILA HALI INCLUDING KUONYESHA MAZISHI LIVE KWENYE ITV
 
Thread inahusu taarifa ya kifo..wengine badala yake wanafanya hii kuwa sehemu ya swearing kana kwamba wao hawataonja mauti.
 
Thread inahusu taarifa ya kifo..wengine badala yake wanafanya hii kuwa sehemu ya swearing kana kwamba wao hawataonja mauti.
bwana Muyaka anaendelea kusema hivi:
ZAO ZILIPOKWISHA
ZIRAILI KAWAFISHA
WAMEYAWACHA MAKASHA
NAMAMBO HAYA NA HAYA


haya hebu tuonyeshe wapi watu wameswear?
 
i HOPE SERIKALI HAITOTUMIA KODI ZETU KUGHARAMIA MAZISHI YAKE MAANA HAKUAJIRIWA NA SERIKALI

WAPO AKINA MENGI AMBAO NAJUA WATAJITOLEA KWA KILA HALI INCLUDING KUONYESHA MAZISHI LIVE KWENYE ITV
GT, surely unaweza kutafuta sehemu nyingine to settle the score, hpa ni kushoto kidogo mkuu
 
R.I.P. Gorogosi. Mungu akuhukumu kwa nafsi yako na siyo kwa maneno ya binadamu. Najua Mungu alikukujua zaidi. Nakutakia pumziko la milele.
 
G.T,
Ungemsema unavyotaka pale wakati yupo hai,pengine angeweza kujitetea huo U Abu Lahabi wake,saivi ameshafariki tumuombee Mw'Mungu ampeleke anapostahiki(kama alivyosema Shk. Hemed bin Jumaa kwa Nyerere)
 
Halisi/Invi..rekebisha opening sentence, kifo kisomeke tangu mwanzo
Thanks mkuu, hii ungeituma kama report tungeifanyia kazi haraka kuliko kuandika kama post.

BTW: Ninafanya updates kwenye 1st post kila zinapotufikia...
 
unaanza ku sound kama mgala mambo haya umeyaanza lini?

Duh, yamekuwa hayo tena..sasa kama wewe unachohoji ni Wakristu kusema Bwana au kitu gani?..fikra zako ziko chini tu ktk maswala! yaani unaposikia neno Bwana basi unarudi ktk ubwana wa ngono..taabu kweli kweli..
Wagala ni sisi wote ikiwa ni pamoja na wewe mkuu soma vizuri Biblia..
 
thanks a lot for the news!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…