Sheikh Khaled bin Zaed wa Abu Dhabi, yuko ktk hatua ya mwisho kuinunua New Castle United

Sheikh Khaled bin Zaed wa Abu Dhabi, yuko ktk hatua ya mwisho kuinunua New Castle United

Sol de Mayo

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2016
Posts
6,515
Reaction score
6,230
Screenshot_20190527-145804_Gallery.jpg

Bilionea kutoka familia ya Kifalme Abu Dhabi, Sheikh Khaled Bin Zaed Al Nahyaan yuko katika hatua ya mwisho kuinunua New Castle United kwa kitita cha pauni Milioni 350.


Sheikh Khaled yupo katika mazungumzo ya mwisho na Mike Ashley ambae ni mmiliki wa klabu hiyo


Sheikh Khaled ni binamu wa Sheikh Mansour ambae ni mmiliki wa Manchester City.


Waarabu sio watu wa spotispoti jamani 😁😁 Mungu amewabariki sana hawa ndugu zetu, sipati picha hawa mabeberu wa kizungu wakiona matajiri wa kiarabu wakimiliki klabu ndani ya nchi zao, Mfano PSG, Man City, kama sikosei na West Ham na sasahivi wako katika hatua ya mwisho kuinunua New Castle.
 
Timu zote za UK zinaweza kuwa chini ya himaya ya Waarabu maana jamaa hela ya mafuta wanayo ile mbaya hadi inamwagika.

Excellent investment.

View attachment 1109407
Bilionea kutoka familia ya Kifalme Abu Dhabi, Sheikh Khaled Bin Zaed Al Nahyaan yuko katika hatua ya mwisho kuinunua New Castle United kwa kitita cha pauni Milioni 350.


Sheikh Khaled yupo katika mazungumzo ya mwisho na Mike Ashley ambae ni mmiliki wa klabu hiyo


Sheikh Khaled ni binamu wa Sheikh Mansour ambae ni mmiliki wa Manchester City.


Waarabu sio watu wa spotispoti jamani 😁😁 Mungu amewabariki sana hawa ndugu zetu, sipati picha hawa mabeberu wa kizungu wakiona matajiri wa kiarabu wakimiliki klabu ndani ya nchi zao, Mfano PSG, Man City, kama sikosei na West Ham na sasahivi wako katika hatua ya mwisho kuinunua New Castle.
 
Timu zote za UK zinaweza kuwa chini ya himaya ya Waarabu maana jamaa hela ya mafuta wanayo ile mbaya hadi inamwagika.

Excellent investment.

Sanaa mkuu BAK, wenzetu wako mbali sana.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Utajiri wao wa mafuta wameutumia vizuri sana kuleta maendeleo makubwa sana nchini mwao, kuboresha maisha ya wananchi wao kwa kiwango cha juu kabisa na pia kuibuka matajiri wa hali ya juu. Njoo kwetu Africa sasa nchi kama Tanzania na Nigeria. Utajiri wa rasilimali unawanufaisha mafisadi wachache ndani ya Serikali kwa kusaini mikataba ya kifisadi na wageni “wawekezaji” mie huwaita hawa “wachukuaji” na wananchi walio wengi wakiendelea kuwa maskini kwa miaka chungu nzima na kuishi maisha ya ufukara wa kutisha.

Sanaa mkuu BAK, wenzetu wako mbali sana.
 
Dah vita ya top4 itakuwa Hatar Sana maana itakuwa top 6 hapo itabid tupeleke petition UEFA Kuwa England iongezewe timu ziwe 5 maana si kwa mtifuano huo
 
Sie waarabu na wahindi wetu wakitaka kununua vikwazo kibaoooo.. Huku Ligi haina mdhamini
Hujui Simba na Yanga ni zaid ya Vilabu vya Mpira?

Simba na Yanga ni kama Bavicha au UV CCM

Ni Magenge ya Kisiasa kuliko Wings za vyama zenyewe
 
Back
Top Bottom