chenjichenji
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 1,773
- 3,529
Anaitwa sheikh Hillary ibn Shaweji al maarufu "kipozeo".Hivi ila jina uwa ni la utani au serious?sheikh kipozeo!!!!????
anaitwa sheikh Hillary Kipoozeo
Ni huyo huyo mmoja kwa mapokeo tofauti...hakuwa mwarabu wala mzungu bali ni muiziraili(israil/jewish).Hujajibu swali Mkuu.
Huyo anayeongelewa na pande zote mbili, huku Jesus na kule Isa ni Mtu mmoja? kama ni mmoja, alikuwa Mwarabu au Mzungu?
MZEE WA NEEMA ZA ALLAHSheikh aonesha kutoridhishwa na mwenendo/style anaokwenda nao mwanamziki nguli nchini diamondplatnumz....asema life style yake kwa sasa haiendani kabisa na miongozo ya imani/dini yake ya kiislamu,ni bora ajitangaze tu kuwa yupo upande wa pili.
Ameeleza hayo kwa kurejea ngoma ya mwanamziki huyo inayobamba kwa sasa ya HALELLUJAH...ambapo pia ameelezea tabia yake ya kuvaa misalaba kama wanavyofanya ndugu zetu wa damu wakristu.
Naomba Allah amuongoe diamond kama alivyomuongoa Mzee Yussuf! Amin. Angalia video hapa chini:
anaitwa hilal Shawej,hilo LA kipozeo limetokana na aina ya mawaidha yakeDuh duniani kuna majina aisee
huyu si ndo yule wa anayependa misambwandaYe mbona huwa anasifia ma wowowo hebu amuache
Hebu wajuzi wa mambo wanisaidie.
Kama wanayemuita Nabii Isa ndio huyohuyo Jesus?
Na je alikuwa Mtasha a.k.a mzungu au Mwarabu? maana najua Mtasha asingeitwa Isa na Mwarabu asingeitwa Jesus...au ni Watu wawili tofauti?
Mwenyewe anaiita mizigo sheikhhuyu si ndo yule wa anayependa misambwanda
Anzisha uzi wako,huu unamuhusu Mondy aka baba "Tiffa"Hebu wajuzi wa mambo wanisaidie.
Kama wanayemuita Nabii Isa ndio huyohuyo Jesus?
Na je alikuwa Mtasha a.k.a mzungu au Mwarabu? maana najua Mtasha asingeitwa Isa na Mwarabu asingeitwa Jesus...au ni Watu wawili tofauti?
Na alikua mswahili? Maana kuna Yesu. Kama ni mtasha asingeitwa YesuHebu wajuzi wa mambo wanisaidie.
Kama wanayemuita Nabii Isa ndio huyohuyo Jesus?
Na je alikuwa Mtasha a.k.a mzungu au Mwarabu? maana najua Mtasha asingeitwa Isa na Mwarabu asingeitwa Jesus...au ni Watu wawili tofauti?