Hakuna ukweli hapo....Uislamu unatoa wajibu kwa kila.muislamu Kukumbushana pale ambapo watu watakuwa wanajisahau...Allah katika kuhimiza wajibu huu kwa waislamu anasema:Kweli kabisa watu wengi ni wepesi wa kuhukumu kama vile wapo safi! kila mtu ni mdhambi siku ya mwisho atapambana mwenyewe. Ndo maana vijana wengi awaendi makanisan au msikitikini kwa ajili ya kuogopa kuhukumiwa na hao Mungu watu.
Nadhani wewe ndiyo unahitaji kusoma vitabu vyako vizuriIssa na Jesus ni watu wawili tofauti, Jesus alizaliwa, akateswa, akafa siku ya tatu akafufuka katika wafu, akapaa mbinguni.
Sasa tafuta sifa za Issa ndio utathibitisha hawa ni watu wawili tofauti kama Thomson na Thompson.
Mkuu umetema pumba sana aise...ila kwa hiyo username yako hupaswi kulaumiwa.
Issa na Jesus ni watu wawili tofautiHujajibu swali Mkuu.
Huyo anayeongelewa na pande zote mbili, huku Jesus na kule Isa ni Mtu mmoja? kama ni mmoja, alikuwa Mwarabu au Mzungu?
Kwanini Mtasha/Mzungu asiitwe Issa?Hebu wajuzi wa mambo wanisaidie.
Kama wanayemuita Nabii Isa ndio huyohuyo Jesus?
Na je alikuwa Mtasha a.k.a mzungu au Mwarabu? maana najua Mtasha asingeitwa Isa na Mwarabu asingeitwa Jesus...au ni Watu wawili tofauti?
Hawezi kuwa Mtasha? wewe uliwahi kuona wapi Jesus akitambulishwa kwa muonekano wa Kiarabu?
Maria (Mama Mzazi) mwenyewe anatambulishwa kama Mzungu.
Kwenye dini yetu tuko huru kuchagua tuwapendao ww tatizo lako nini.mbona yeye anapenda miss Bantu.
La hasha! ila ni Muislam mweusi,kutoka ukanda wa pwani ya afrika mashariki.
No, it is a believer n follower of Islamic Religion, the true and right faith ever!
Wakati mwingine kukaa kimya nako ni busaraIn short, Yesu alikuwa mwizi wa mbao. Wauza mbao walikuwa wanaibiwa sana, kumbe yule jamaa alikuwa anawalia timing alfajiri wakati usingizi ni mtamu. Walivyoamua kukesha kama Sungusungu mpaka wampate mwizi wao, ndio yule jamaa akaingia mtegoni. Wakamlamba siku moja alfajiri, wakambebesha mbao zake kumpeleka kwa Pirato. Sasa vibaka wenzie wakina Yuda, ndio wakachomekea story za kubebeshwa msalaba kumbe zilikuwa mbao za wizi, na watu kwa umbumbu wao wanaamini mpaka leo. Na huyo Kipozeo hana lolote, jitu jeusi kama mkaa lakini kujitia uarabu. Mbona hatujawahi kumuona mwarabu anacheza Gombe Sugu, huu si ulofa huu?
Wakati mwingine kukaa kimya nako ni busara
MkuuKwenye dini yetu tuko huru kuchagua tuwapendao ww tatizo lako nini.
Unayoyasema ni sahihi katika mtizamo wa kidunia lakini sio sahihi kabisa katika mtizamo wa kidini...diamond inajulikana ni muumini wa dini ya kiislamu,sasa kama viongozi wa dini wanaona kijana anakoelekea siko,yaani anavuka mipaka,basi ni wajibu wao kumkumbusha ili arudi kwenye mstari au asijisahau sana.Mkuu
Turudi kwenye Uzi.
Je unaafikiana na mtazamo wa shekh?
Kama ndio kwasababu zipi?
Kwangu mimi siioni Dini kwa maisha na kazi anayofanya Diamond.
Diamond anafanya kazi ya usanii sio ya dini.katika kazi ya usanii Diamond anafuga rasta anaimba miziki.
Maisha yake halisi ni hajaoa na anazini[emoji23][emoji23] deile.
Nikiunganisha na hizi dini zetu zisizopenda mizaha na usasa mwingi.
Sioni kwanini diamond alaumiwe kwa maisha ya dini asiyoyaamini kua yatamtengenezea njia bora.
Diamond ni mburudishaji katika kumbi za starehe sio misikitini nk. Hajaanza leo na yeye sio wa kwanza. Walikuwepo wakongwe wakina marijan rajabu nk.
Kama angekua hajatoboa, hao wanaomlaumu wasingemtafuta. Lakini kwakua kafanikiwa, wanampangia na aina ya sanaa anayopaswa kuifanya. Is this fair?