SHEIKH MKUU WA DAR NA MCHAKATO WA KATIBA MPYA(video)

SHEIKH MKUU WA DAR NA MCHAKATO WA KATIBA MPYA(video)

Narubongo

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
2,768
Reaction score
2,753


harufu ya udini kwa mbali na uelewa mdogo wa mambo nyeti
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa vipi! Eti tukologe siasa kwenye misikitiki, waalimu wa madrasa, na maimamu zingatieni hilo. Kazi kweli kweli hawa jamaa
 
..Shekhe ameteleza.

..katika uongozi kinachopimwa ni track record, siyo utamu wa maneno na ahadi.
 
Unasema watu wanalalamikia kitendo cha jk kusema anaunda tume ya katiba??, yes watu wana haki ya kufanya hivyo kwa sababu rais atakaowateua na kuwapa hadiju za rejea ana uwezo wa ku wacontrol na pili badala ya wateuliwa kulinda maslahi ya wananchi watalinda maslahi ya yule aliyewateua kumbuka methali ya atakayemlipa mpiga zumari ndiye atayechagua wimbo, kama wewe ulioni hilo sorry waache wanaoliona walimulike na siyo ku question nia zao.
Huyu anaonekana kumtetea jk kuliko hata katiba aliyopaswa kuitetea si ajabu ana kadi ya ccm mfukoni. Watu wana haki ya kutomuamini jk kutokana na record yake ya kuzungumza uongo ukianzia swala la richmond mpaka issue ya takukuru. Km wewe unamwani jk endelea kumwamini ukatazwi na sisi ambao hatumwamini jk kwa sababu ya record mbaya. Kitendo chake cha kuporomoka kutoka asilimia 84% mpaka 60% kwa kuchakachua kwenye uchaguzi ni ushahidi tosha kuwa people don't trust him anymore.
 
Huyu jamaa si walimtoa kwenye gazeti lililodai kuwa ni mtoto si rizki? nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 au 10 mwaka jana

baada ya pale waislam wenyewe wanamkimbia....

lakini magazeti yetu huwa yanaandika mengi so...
 
Back
Top Bottom