Bado tunasubilia pia Jembe jingine Dr Bagonza naye atoe ya kwake. Mwamakula tumemsikia na Tunawapongeza wote waliopaza sauti zao katika kukemea maovu yanayoendelea kwa sasa katika Taifa letu. Mungu anatutaka kuwalisha watu wake kiroho na kimwili pia.