Sheikh Ponda sasa kujaribu wakili kafiri

Sheikh Ponda sasa kujaribu wakili kafiri

Kwameh

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2011
Posts
1,793
Reaction score
2,152
09/04/2014

Kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi, Morogoro


ponda-300x169.jpg


KATIBU wa Taasisi na Jumuiya ya Kiislamu, Sheikh Issa Ponda, ameendelea kusota rumande hadi pale jalada la kesi yake litakaporejeshwa kutoka Mahakama Kuu.

Sheikh Ponda anayetetewa na wakili wa kujitegemea, Batheromeo Tharimo alifikishwa mahakamani hapo chini ya ulinzi mkali licha ya kutokuwepo umati mkubwa wa wafuasi wake....

_____________________________

My take: Takbiiiiiiir!


 
Back
Top Bottom